Regia Mtema
R I P
- Nov 21, 2009
- 2,970
- 864
Wakuu nimeona nivema nikawapa majina ya kamati kuu mpya ya CHADEMA ili wale wasioifahamu basi waifahamu.
1.Freeman Aikael Mbowe -Mwenyekiti
2.Said Amour Arfi (MB)- M/Mwenyekiti Bara
3.Said Issa Mohamed- M/mwenyekiti Zanzibar
4.Dr Wilbrod Peter Slaa- Katibu Mkuu
5. Zitto Zuberi Kabwe- Naibu Katibu Mkuu Bara
6.Hamad Mussa Yusuph-Naibu Katibu Mkuu Zanzibar
6. Edwin Mtei- Mwenyekiti Mstaafu
7.Bob N Makani- Mwenyekiti Mstaafu
8.Philemon Ndessamburo(MB)
9.Mhonga Said Ruhanywa (MB)
10.Shaban Mambo-Mwenyekiti Umoja wa Madiwani
11.Lazaro Massai-Mwenyekiti wa Halmashauri Karatu
12.Philip Shelembi
13.Susan Lyimo(MB)
14.Mwanamrisho Abama-Zanzibar
15.Prof Mwesiga Baregu
16.Dk Kitilla Mkumbo
17.Nassor Ally Salim -Zanzibar
18.Regia Estelatus Mtema- Mjumbe mdogo kuliko wote kwa kuchaguliwa
19.Shida Salum Bitaliho
20.Leticia G Mosore-Mwenyekiti -Baraza la Wanawake CHADEMA(BAWACHA)
21.Susan H Kiwanga
22.Grace Kiwelu(MB)
23.Paul Herman Sule- Katibu wa Umoja wa Madiwani
24.Charles Mwera(MB) na Mwenyekiti wa Halmashauri Tarime
25.Nyangaki Silungushela- Mwenyekiti Baraza la Wazee CHADEMA
26.John Mnyika-Mkurugenzi
27.John Mrema-Mkurugenzi
28.Benson Kigaila-Mkurugenzi
29.Msafiri Mtemelwa-Mkurugenzi
30.Victor P Kimesera-Mkurugenzi
N.B
Kwa mujibu wa Katiba ya CHADEMA
1.Viongozi sita wa mwanzo wanaingia kwa kofia zao
2.Wenyeviti wastaafu wanaingia kwa kofia zao
3.Wenyeviti wa halmashauri zinazoongozwa na CHADEMA wanaingia kwa kofia zao
4.Mwenyekiti na Katibu wa Umoja wa Madiwani wanaingia kwa kofia zao
5.Wawakilishi watano wa wabunge-wanajichagua miongoni mwa wabunge
6.Wenyeviti wa Mabaraza ya chama yaani Baraza la Vijana CHADEMA(BAVICHA),Baraza la wazee na Baraza la Wanawake
7.Wakurugenzi wanaingia kwa kofia zao lakini ni wajumbe wasio na kura.
8.Waliobaki kwa upande wa wanaume waligombea kupitia baraza kuu-hizi ni nafasi tatu tu Bara na moja Zanzibar
9.Waliobaki kwa upande wa wanawake waligombea kupitia baraza kuu-nazo ni nafasi tatu tu Bara na moja ni Zanzibar-Kati ya hao watatu wawili ni watu wenye ulemavu yaani Regia Mtema na Shida Salum
1.Freeman Aikael Mbowe -Mwenyekiti
2.Said Amour Arfi (MB)- M/Mwenyekiti Bara
3.Said Issa Mohamed- M/mwenyekiti Zanzibar
4.Dr Wilbrod Peter Slaa- Katibu Mkuu
5. Zitto Zuberi Kabwe- Naibu Katibu Mkuu Bara
6.Hamad Mussa Yusuph-Naibu Katibu Mkuu Zanzibar
6. Edwin Mtei- Mwenyekiti Mstaafu
7.Bob N Makani- Mwenyekiti Mstaafu
8.Philemon Ndessamburo(MB)
9.Mhonga Said Ruhanywa (MB)
10.Shaban Mambo-Mwenyekiti Umoja wa Madiwani
11.Lazaro Massai-Mwenyekiti wa Halmashauri Karatu
12.Philip Shelembi
13.Susan Lyimo(MB)
14.Mwanamrisho Abama-Zanzibar
15.Prof Mwesiga Baregu
16.Dk Kitilla Mkumbo
17.Nassor Ally Salim -Zanzibar
18.Regia Estelatus Mtema- Mjumbe mdogo kuliko wote kwa kuchaguliwa
19.Shida Salum Bitaliho
20.Leticia G Mosore-Mwenyekiti -Baraza la Wanawake CHADEMA(BAWACHA)
21.Susan H Kiwanga
22.Grace Kiwelu(MB)
23.Paul Herman Sule- Katibu wa Umoja wa Madiwani
24.Charles Mwera(MB) na Mwenyekiti wa Halmashauri Tarime
25.Nyangaki Silungushela- Mwenyekiti Baraza la Wazee CHADEMA
26.John Mnyika-Mkurugenzi
27.John Mrema-Mkurugenzi
28.Benson Kigaila-Mkurugenzi
29.Msafiri Mtemelwa-Mkurugenzi
30.Victor P Kimesera-Mkurugenzi
N.B
Kwa mujibu wa Katiba ya CHADEMA
1.Viongozi sita wa mwanzo wanaingia kwa kofia zao
2.Wenyeviti wastaafu wanaingia kwa kofia zao
3.Wenyeviti wa halmashauri zinazoongozwa na CHADEMA wanaingia kwa kofia zao
4.Mwenyekiti na Katibu wa Umoja wa Madiwani wanaingia kwa kofia zao
5.Wawakilishi watano wa wabunge-wanajichagua miongoni mwa wabunge
6.Wenyeviti wa Mabaraza ya chama yaani Baraza la Vijana CHADEMA(BAVICHA),Baraza la wazee na Baraza la Wanawake
7.Wakurugenzi wanaingia kwa kofia zao lakini ni wajumbe wasio na kura.
8.Waliobaki kwa upande wa wanaume waligombea kupitia baraza kuu-hizi ni nafasi tatu tu Bara na moja Zanzibar
9.Waliobaki kwa upande wa wanawake waligombea kupitia baraza kuu-nazo ni nafasi tatu tu Bara na moja ni Zanzibar-Kati ya hao watatu wawili ni watu wenye ulemavu yaani Regia Mtema na Shida Salum