NATA
JF-Expert Member
- May 10, 2007
- 4,492
- 1,311
- Thread starter
- #41
Haha!! Mbona hii tayari ilishaigizwa na ze comedi? Next time nafikiri akishakukomalia umpeleke hospitali unampakia kwenye gari halafu unampeleka polisi. Ilimradi unauhakika kwamba amejigongesha mwenyewe na hajaumia. Mimi ilinitokea Tandika, jamaa akajigongesha kwenye side mirror na akajifanya ameanguka. Halafu jamaa wengine wakaanza kuja mbele ya gari ili kunizuia nisiondoke, nilichofanya ni kukanyaga mafuta wenyewe wakanipisha barabarani.
Itabidi nianze kuangalia ze comedi sasa , sikuwa nimeiona!