sammosses
JF-Expert Member
- Jan 24, 2011
- 1,682
- 1,110
Chonde chonde mh.Maselle,wadhifa ulioupata kama kijana toka kwenye mikoba iliyoachwa na vijana wenzako ni changamoto kubwa sana katika zama hizi za ufisadi uliotamalaki.Nakumbuka mh.Shibuda aliwahi kumsihi sana Ngeleja alipoteuliwa kuwa waziri wa wizara hiyo ulioynayo,naomba ule ushauri aliopewa Ngeleja nawe hufanyie kazi ili kulinda heshima ya vijana nchini.Kuanguka kwako ni anguko la vijana kwasababu vijana ndo tunaoamini kuwa chachu ya mabadiliko popote pale duniani.Cheo nidhamana,jaribu kurudia ahadi za TANU hatakama ahadi hizo zilikwenda na mwalimu JK Nyerere.