Alvin Slain
JF-Expert Member
- Aug 30, 2011
- 6,375
- 3,655
Wengi hapa tz wanadai lema kaachishwa ubunge kwa hila huo ni upande mmoja ni vema tukaangalia na historia ya LEMA katika vyama vya siasa Je alifanya nini TLP mpaka akatoweka na kukimbilia CHADEMA? Kwanza kabisa lema alikuwa mwanachama wa TLP tangu mwaka 2000 ilipofika mwaka 2005 chama cha TLP kikamteua kugombea kiti cha mbunge katika jimbo la Arusha mjini Hatimaye uchaguzi ukafanyika na matokeo yalionyesha kuwa mgombea wa TLP alishinda. Lakini aliyekuwa mgombea wa chama cha mapinduzi ndugu FELIX MREMA Alimhonga lema shiling za kitanzania mil 100 akubali kwamba ameshindwa kwenye uchaguzi na lema akapokea ela na kiti cha ubunge kikarudi ccm Chama cha TLP kupitia mwenyekiti wake waliamua kupinga matokeo hayo wakidai mgombea wao ndiye alishinda ni kweli lakin lema akamaliza ile bila viongoz wake alaf akaenda cdm