Yule jangili mkuu wa Tembo Tanzania.....
Eeeeeeeh nimekumbuka mkuu asante sana kwa kunikumbusha nilimuona jana akanikumbusha mitaa ya kisayuni kule somalia sijui kama ana unasaba nako
Leo hii wana Arusha tunakwenda kutimiza tu wajibu wa kusimama mistari na kupaka rangi ya kucha kwenye vituo maalum maana tayari kama ni kupiga kura tayari tulisha mchagua mheshimiwa Lema kuwa mbunge wetu.
Mi mwenyew mwana ccm lkn dah arusha ofkoz ni ya lema tu na ccm kuchukua arusha co leo wala kesho tuujipange kwa vizazi vinavyokuja
Wakuu natanguliza salamu , huu ni zaidi ya uchaguzi , ni zaidi ya kuchagua tu bali huu ni wasaa wa kufutilia mbali virusi vya ccm arusha , tupeane taarifa kuanzia maandalizi , ulinzi wa vituo pamoja na mwamko wa wananchi , hatua kwa hatua mpaka matokeo yatakapotangazwa , Nakala kwa Crashwise na Ephata Nanyaro .
Kamanda Lema atashinda kwa kishindo ila jiji kama Arusha linahitaji mtu mwenye maono ya maendeleo zaidi ya kamanda lema
Nachelea kusema kwa ubabe wa maneno wa Kamanda Lema bila mikakati ya kimaendeleo ya Jiji.... Arusha yetu inaelekea Kuzimu!!!!
Hata mimi nawashangaa hawa jamaa wa lumumba mkuu
Kama ni mimi nawaambia wanipe ramani jinsi watakavyo muibia kura awe Lema,Sugu,Msigwa,Mnyika,Mbowe,Mbatia na hela za kampeni watoe wao ndiyo nakubali kugombea mkuu.
Kila kifaa kinachostahili kukitumia kwenye kushangilia na kuburudika baada tu ya kupiga kura kipo tayari maana wana Arusha tulishajitambua kitambo sana na ccm wanalijua hilo kuwa Arusha haiwahusu
Nimeshakata lema
Nishamkata Lema wakuu!...
Hapa ni monoban tuu, Arusha tumechoka maandamano yasiyokuwa na tija kwetu....
Hapa kazi tuuuuuuu