Ulinzi uliokuwepo siyo mchezo kuna polisi leo walijichanganya na CDM eti nawao wana CDM lakini mimi nawafahamu vizuri sana nikawa nachekatu...mchina amefanya kaz nzuri naona pcha co mbaya....i cnt comment abt Mbowe but kama ni swala la ulinzi bac ulikuwa wa ukwee
Karibu arusha mkuu...kulaleki mimi nahamia Arusha huko ndio kuna wanamapinduzi wa kweli, ndio maana JK hapapendi , kwanza watu kule wana pesa hali ya hewa nzuri wanaakili hawadanganyiki ,kulaleki cheki mikoa ya ruvuma huko kusini huko ccm inashinda kila siku wanajua zile kanga na kofia ndio haki yao kupewa hawajui kuwa nchi ina rasilimali nyingi wamejazwa udini kuwa chadema ni ya wachaga(NAPE) na wakristo huku wakiwafumbia macho kina Zitto na profesa Safari. kulaleki nipokeeni Arusha sooon!
thanks kijana wangu wa ukweli Crashwise.
Duhu. Kama vile waasi wa angola
Wana JF,
Kweli Mtu kama mbowe analindwa utadhani ni mfungwa as if amefanya au kashiliki president assassination, Ulizi ulio tolewa kwa mbowe ingekua ni bora wakatulindie mali za nchi yetu kutorosha nje kama Magogo, Mchanga wa dhahabu ,Almasi na vinginevyo.
Serikali imeingia gharama ya juuu kweli me nisha waambia serikali ya JMK inatengeneza a Time BOOM nali limekaribia kufika
Ms alikuwepo. Hakuna kitu kama hicho. Mbowe kapelekwa kwa gari la taka la jiji la arusha hadi mahakamani