GeniusBrain
JF-Expert Member
- Nov 3, 2010
- 4,315
- 306
Kilichojiri kikao cha kamati kuu ya CHADEMA siku ya Jumamosi tarehe 30.04.2011
Ø Zitto apinga mpango wa ununuzi wa magari ya Chama ya mitumba kutoka India yenye thamani ya Tshs 480 milioni. Ambapo Prof. Baregu ,Dr. Mkumbo na Mnyika nao wanaunga mkono hoja hiyo
Ø Lema ataka Zitto angolewe kutokana na kupinga wazo hilo la ununuzi wa magari ya mitumba (chakavu), na kumshutumu kuwa anamtetea Shibuda
Ø Zitto amwambia Mbowe mpango wake wa kujenga makundi ya mtandao utakuja mletea matatizo
Ø Kamati kuu yatengua uteuzi wa Shibuda wa kukaimu uenyekiti wa chama Shinyanga , na kundi linalo mpinga Zitto kumshutumu kuwa akikwenda Shinyanga na kushirikiana na baadhi ya wanachama kumweka Shibuda ili kutimiza ajenda zao
Ø Wakati wa mvutano huo Dr. Slaa alikuwa kimyaa na hakusema lolote
Ø Shibuda akiri kusikia taarifa hizo na anasubiri apate taarifa rasmi kwani yeye alipewa heshima hiyo na wanachama wa Shinyanga kupitia vyombo vya maamuzi
Source : Mwananchi 02.05.2011
My note :
Ø Zitto apinga mpango wa ununuzi wa magari ya Chama ya mitumba kutoka India yenye thamani ya Tshs 480 milioni. Ambapo Prof. Baregu ,Dr. Mkumbo na Mnyika nao wanaunga mkono hoja hiyo
Ø Lema ataka Zitto angolewe kutokana na kupinga wazo hilo la ununuzi wa magari ya mitumba (chakavu), na kumshutumu kuwa anamtetea Shibuda
Ø Zitto amwambia Mbowe mpango wake wa kujenga makundi ya mtandao utakuja mletea matatizo
Ø Kamati kuu yatengua uteuzi wa Shibuda wa kukaimu uenyekiti wa chama Shinyanga , na kundi linalo mpinga Zitto kumshutumu kuwa akikwenda Shinyanga na kushirikiana na baadhi ya wanachama kumweka Shibuda ili kutimiza ajenda zao
Ø Wakati wa mvutano huo Dr. Slaa alikuwa kimyaa na hakusema lolote
Ø Shibuda akiri kusikia taarifa hizo na anasubiri apate taarifa rasmi kwani yeye alipewa heshima hiyo na wanachama wa Shinyanga kupitia vyombo vya maamuzi
Source : Mwananchi 02.05.2011
My note :
- CDM wanahubiri wasicho kitenda kwani mpango wa kununua vitu chakavu wao wanajifanya kuvipinga kumbe ndio wanataka kuvitekeleza
- Lema ni kimeo kwenye Chama kwani anaonekana ni mpambe wa kundi la Mbowe. Na Lema anaonekana ana visa na Shibuda, kwani Shibuda wakati wa kikao cha bagamoyo alimwambia Lema hana adabu na ataenda kumshitaki kwa wazee wa Arusha
- Kitendo cha Slaa kukaa kimya ni kuona aibu kwa hoja yake ya kifisadi (kama mtendaji mkuu wa chama) ya kununua magari chakavu
- Uamuzi wa kumvua Shibuda madaraka ni wa kukurupuka kwani ulipitia vikao halali vya chama vya shinyanga