Yaliyojiri: Kongamano la Katiba: 15 Januari 2011 Nkrumah UDSM

Je ni jamhuri ya muungano WA Tanzania au jamhuri ya muungano YA Tanzania-ulimwengu
 
ulimwengetu anasema nchi nyingi za africa baada ya uhuru hakuna utawala wowote ulioketi na wananchi kutahimini katiba bali ni kubandua na kubandika vipande. anasema jamhuri yetu ni ya jamhuri ya muungano ya tanzania si jamhuri ya muungano wa tanzania. anasema ccm haikutaka mfumu wa vyama vingi hata siku nyerer alipowahutubia kuhusu hilo waliguna.
 
Lazima wapigd mbizi,si unajua Kombani alishakataa katiba mpya?Werema naye yupo?Makamba ameenda arusha ili kuongeza ugomvi kama kawaida yake.
 
Dr Laurean Ndumbaro, mshauri wa rais yupo pia...sijui huwa anamshauri vp prezidaaa!!!
 
ulimwengu;mwanasheria chenge alikuwa tayari kumfanyia lolote mkapa analitaka lifanyike hata si la kisheria mf.sheria ya rais kutangazwa mshindi hata kama kapata 19%
 
Tujipe muda kutengeneza katiba ambayo itakuwa na manufaa kwa wananchi na sio manufaa kwa vyama vya siasa. Kauli ya Jenerali.
 
jamani sitaweza kuangalia konagamano mwanzo mpaka mwisho, lakini nondo zilizomo ni nzuri na nimezipenda. Najua nawakilisha wengi ambao kwa namna moja au nyingine watakosa, ama kukosa vijisehemu.

Dr. Kitila na wahusika wengine, fanyeni uwezekano tupate video na audio za mjadala huu muhimu. Na ikiwa kama huduma kwa taifa hili nashauri copyright idhibiti watu kupunguza au kuongeza chochote bali iruhusiwe ku copy and distribute verbatim.

Please Dr. And the co, tusaidieni tuzipate na hongera kwa kongamano zuri!
 
Hatudai katiba mpya kwa sababu tu inamapungufu au imepitwa na wakati la, sababu kubwa ya kudai katiba mpya ni kutoshirikishwa kwa wananchi katika kuiunda! Kwa mujibu wa Prof ambao binafsi nakubaliana nao, kutoshirikishwa kwa wananchi katika uundwaji wa katiba ni mapungufu yasiyorekebishika! Kwa mtazamo wangu, kurekebisha mapungufu ya katiba ni kuruhusu kushirikishwa kwa wananchi katika kuunda katiba mpya. Katiba mpya na ushirikishwaji wetu wananchi katika kuundwa kwa katiba hiyo ni haki yetu wote. Shime wananchi, vita dhidi ya mafisadi wa katiba na vyote vilivyo mali ya wa'tanzania' na viendelee. Nawakikilisha.
 
Anamuuaje tena Katavi,naombeni mtuelezee kidogo tafadhali,hatuwezi kuona????nakupenda ulivyo!:smile-big:
Asante sana Michelle, anawaponda kwa kubadili vipengele vya katiba ili wao na chama chao wafaidike.
 
Back
Top Bottom