Kweli mkuu mpaka kilaza ZOMBA kamuona ujue huyo ni kichwa kwelikweli!!
vitu gani hivyo?? :noidea::help:Issa Shivji, KICHWA, anamwaga vitu si vya kawaida. Huyu Mzee ni kichwa.
Nyerere alikiri katiba inamfanya awe "dikteta", Mzee Shivji anamwaga vitu.
Kuwepo kwenye kongamano si tija ila kuendelea kuwa mtumwa wa fikra za kitumwa ndiyo tija.For your information, Zomba alikuwepo katika kongamano la katiba la mwaka 1990. Sijui kama ulikuwa umesha zaliwa.
Hivi hakuna tv zinazotumia betri
wapi SPIDERMAN?? jamaa huyu cjui ana program ya kuandika kama mtu anakuwa anaongea? maana speed yake ni kama machine
Shivji anapendekeza kuwa mchakato wa katiba mpya uwe na hatua mbili,hatua ya kisiasa na hatua ya kisheria.Lazima kuwe na mjadala wa wazi kwa kila sehemu kwa kila mtu.Kuwe na Tume yakuratibu mchakato maoni kutoka kwa wananchi.Baada ya hapo kuwe na Mkutano Maalumu na mwisho kuwe na kura ya maoni kutoka kwa wananchi.
Shivji anasema ana wasiwasi na Tume itakayoundwa na rais,hasa katika watu watakaounda tume hiyo,hadidu za rejea na kwamba mapendekezo ya tume hiyo yatapelekwa wapi.
Stop misleading viewersNyerere alikiri katiba inamfanya awe "dikteta", Mzee Shivji anamwaga vitu.