Yaliontokea jana....jioni!

Maalim Jumar

JF-Expert Member
Dec 28, 2010
1,259
117
Hali zenu JF!
Nimeona niiweke hapa hii taarifa kwa nia nzuri.
Nmekua nkisafiri mara kwa mara kwa usafiri wa anga...muda mwingine hua mchana...asubuhi...jion/usiku...ukaguzi hua shwari pale kwenye scaner!.
Lakin leo nmefika muda wa saa kumi na mbili jion...tena na mvua hizi za dar...nkawa nmechelewa muda wa ukaguzi...askari wakatazama kwa umakini wao Bag yangu...wakawa kama wanahisi kitu...sikua na hofu maana vitu vya humo katika bag yangu ndio vya kila siku ya safari.
Ghafla akaja askari akaniomba akague nkamruhusu maana ni wajib wao...kapekua pekua hata sijui alikua anatazama vitu gani? Maswali yake hayakuniridhisha japo nami nlikua namjib kama alivyouliza!
Mwisho akaniruhusu nka-lock bag langu...na kuendelea na taratibu zingine!
Nkahisi labda ni jion ndio wamekua makini au ...?
Nawakilisha!
 
mkuu sio kwako ama leo tu
kilichowafanya kuona ni machine ambao ipo kila siku;;kama ulipita na kitu cha chuma ukalia wakakuacha basi walikuwa wamelogwa sikuhiyo...ile machine inaonyesha kila kitu na mtu akipita na mzigo mbaya na kuingia ndan basi game imechezwa ama kaaga kwao hyo hata ukimfwatilia watafuta bomu la machozi mwenyewe
 
kawaida, pick at random,
mara nyingi wanaamua kuchagua mtu mmoja wa kusarchi kwa kutumia mashine na mikono ni kawaida sana
 
hali zenu jf!
Nimeona niiweke hapa hii taarifa kwa nia nzuri.
Nmekua nkisafiri mara kwa mara kwa usafiri wa anga...muda mwingine hua mchana...asubuhi...jion/usiku...ukaguzi hua shwari pale kwenye scaner!.
Lakin leo nmefika muda wa saa kumi na mbili jion...tena na mvua hizi za dar...nkawa nmechelewa muda wa ukaguzi...askari wakatazama kwa umakini wao bag yangu...wakawa kama wanahisi kitu...sikua na hofu maana vitu vya humo katika bag yangu ndio vya kila siku ya safari.
Ghafla akaja askari akaniomba akague nkamruhusu maana ni wajib wao...kapekua pekua hata sijui alikua anatazama vitu gani? Maswali yake hayakuniridhisha japo nami nlikua namjib kama alivyouliza!
Mwisho akaniruhusu nka-lock bag langu...na kuendelea na taratibu zingine!
Nkahisi labda ni jion ndio wamekua makini au ...?
Nawakilisha!
1.nisipoelewa ni hapo kwenye red. Inamaana dakika hiyohiyo ukaturushia sms????angalia muda uliopost.
2. Samahani mkuu,ukikaa ki alkeida keida, utakaguliwa sana.mwaka huu nimeshasafiri mara nane sijaona ukaguzi wa kutisha labda airport ya mwanza wapo very strict.
 
hehehe hii inanikumbusha pale uwanja wa ndege wa Ethiopia wakati alpokuja jamaa aliyevalia yale mavazi ya kilemba walimkagua kama dakika 15 hivi
 
ni kawaida tu na inabidi kuvumilia

mimi niliwahi kuponea chupuchupu kuachwa Seoul kwa sababu ya hiyo sachi sachi! tena mimi walikuwa wananiruhusu kisha nikiondoka wananiita wanaanza tena, nilipogundua zimesalia 20 minutes mlango ufungwe ilibidi niwaachie mfuko mzima uliokuwa na vipodozi vyangu
 
ni kawaida tu na inabidi kuvumilia

mimi niliwahi kuponea chupuchupu kuachwa Seoul kwa sababu ya hiyo sachi sachi! tena mimi walikuwa wananiruhusu kisha nikiondoka wananiita wanaanza tena, nilipogundua zimesalia 20 minutes mlango ufungwe ilibidi niwaachie mfuko mzima uliokuwa na vipodozi vyangu

Vipodozi hususan perfumes and body sprays ni explosive ambazo haziruhusiwi
kwenye mizigo ya ndani
 
ni kawaida tu na inabidi kuvumilia

mimi niliwahi kuponea chupuchupu kuachwa Seoul kwa sababu ya hiyo sachi sachi! tena mimi walikuwa wananiruhusu kisha nikiondoka wananiita wanaanza tena, nilipogundua zimesalia 20 minutes mlango ufungwe ilibidi niwaachie mfuko mzima uliokuwa na vipodozi vyangu

Pole sana, safari yako ilikuwa mhimu kuliko hivyo vipodozi
 
jana balaa tupu barabara za dar.. waliokwenda kuwahi ndege ilibidi washuke kwenye gari na au watembee au wapande bodoboda.. who is to blame.. city fathers au ninyi mnaonunua magari mkijua hatuna barabara za kupitisha magari hayo:panda:
 
Hali zenu JF!
Nimeona niiweke hapa hii taarifa kwa nia nzuri.
Nmekua nkisafiri mara kwa mara kwa usafiri wa anga...muda mwingine hua mchana...asubuhi...jion/usiku...ukaguzi hua shwari pale kwenye scaner!.
Lakin leo nmefika muda wa saa kumi na mbili jion...tena na mvua hizi za dar...nkawa nmechelewa muda wa ukaguzi...askari wakatazama kwa umakini wao Bag yangu...wakawa kama wanahisi kitu...sikua na hofu maana vitu vya humo katika bag yangu ndio vya kila siku ya safari.
Ghafla akaja askari akaniomba akague nkamruhusu maana ni wajib wao...kapekua pekua hata sijui alikua anatazama vitu gani? Maswali yake hayakuniridhisha japo nami nlikua namjib kama alivyouliza!
Mwisho akaniruhusu nka-lock bag langu...na kuendelea na taratibu zingine!
Nkahisi labda ni jion ndio wamekua makini au ...?
Nawakilisha!
sIJAONA CHA AJABU KILICHOKUPATA!
Hizo ni normal procedurea za Security checks!...Mbaya zaidi wewe unaonyesha ulikuwa ni Last-Minute-Pax, ambapo abiria wa namna hiyo huwa ni SUSPECTS!...ukiona mtu anakuja na harakaharaka zake akiwa amechelewa ujue ana ujambo la hatari ambalo anataka liwe overlooked na staff wa security, kwa hiyo huyo ndiye anabanwa sana kiukaguzi!
 
sijaona cha ajabu kilichokupata!
Hizo ni normal procedurea za security checks!...mbaya zaidi wewe unaonyesha ulikuwa ni last-minute-pax, ambapo abiria wa namna hiyo huwa ni suspects!...ukiona mtu anakuja na harakaharaka zake akiwa amechelewa ujue ana ujambo la hatari ambalo anataka liwe overlooked na staff wa security, kwa hiyo huyo ndiye anabanwa sana kiukaguzi!
nashukuru kwa kutuelimisha maana wengine hadi safari inakuwaga mbaya na unasafiri na frustration kibao
 
mkuu sio kwako ama leo tu
kilichowafanya kuona ni machine ambao ipo kila siku;;kama ulipita na kitu cha chuma ukalia wakakuacha basi walikuwa wamelogwa sikuhiyo...ile machine inaonyesha kila kitu na mtu akipita na mzigo mbaya na kuingia ndan basi game imechezwa ama kaaga kwao hyo hata ukimfwatilia watafuta bomu la machozi mwenyewe
Haikuniuma kunikagua! Waliona hicho kitu kipo upande gani? Hivyo angetazama kisha kuniruhusu ...ikawa anaendelea kukagua bag nzima...maswali ya ajabu ajabu! Mbaya zaidi tukacheleweshwa kuondoka tena na ndege ya Precision muda wa saa zaidi. Nlipo fika mwisho wa safari yangu nikawa nafungua bag yangu maana hua nafunga kwa namba...haikufunguka kama nlivyozoea...nkavunja! Kuangalia ndani nguo moja sikuiona! Ilhali pale kwa yule mkaguzi sikutoa kitu na nlifunga vizuri...bila kuacha kitu! Sijui haya mambo na wasafiri wenzangu yamewahi kuwatokea!
 
Hii inaonyesha ni jinsi gani Security wanavyo fanya kazi.
Hupashwi kulalamika.
Ni jamba la kawaida tu.
Sijakasirika kukaguliwa! Ikiwa mashine imewaonesha kuna kitu...kipo upande gani wa bag...ilitakiwa atazame upande huo huo...ile kuanza tena kukagua bag nzima na maswali mengine ndio nlikasirika!. Mbona hakukuta kitu?
 
sIJAONA CHA AJABU KILICHOKUPATA!
Hizo ni normal procedurea za Security checks!...Mbaya zaidi wewe unaonyesha ulikuwa ni Last-Minute-Pax, ambapo abiria wa namna hiyo huwa ni SUSPECTS!...ukiona mtu anakuja na harakaharaka zake akiwa amechelewa ujue ana ujambo la hatari ambalo anataka liwe overlooked na staff wa security, kwa hiyo huyo ndiye anabanwa sana kiukaguzi!
Nafurahi kwa maelezo yako. Sikulalamikia ukaguzi wao. Ni vile machine imewaonesha kitu walichotilia mashaka kipo upande gani? Hivyo angetazama upande huo...lakin kakagua bag zima. Na hakukuta kitu cha hatari. Maswali mengine ya ajab...hivyo hivyo kuna siku nlifuatana na wakenya nkakaguliwa wakaona chupa ya uturi(perfume) ikawa issue..nikawafungulia tena wakakuta ni hayo mafuta . Kwa kua ni bag hua siingii nayo ndani ya ndege haikua tatizo. Hata hiyo jana nlifuatana nao wakenya au wazambia. Sijajua zaidi nini hiyo?
 
mkuuu wanaopita na madawa ya kulevya wanapita kwenye machine hiyo hiyo so walikuwa na haki ya kukagua hapo na sehemu nyingine binafsi ningemwaga chini vyote pale kwenye kapeti tunaingiza moja moja aijalishi kuna dawa ya penzi ama la tutazirudisha kwa usalama wa tanzania
wale jamaa wanarisk sana ife zao..nakueleza hivi nikimaanisha kuna vijana wana ji load wakiwa wameshapulizwa TANGA nakuhakikishia kwenye mashine zinaonekana henkerchief uwezi amini...so msala kama huu ukibumbulika uko mbele waliokuwepo wote awana kazi kumbe mazingaombwe ...
 
Nafurahi kwa maelezo yako. Sikulalamikia ukaguzi wao. Ni vile machine imewaonesha kitu walichotilia mashaka kipo upande gani? Hivyo angetazama upande huo...lakin kakagua bag zima. Na hakukuta kitu cha hatari. Maswali mengine ya ajab...hivyo hivyo kuna siku nlifuatana na wakenya nkakaguliwa wakaona chupa ya uturi(perfume) ikawa issue..nikawafungulia tena wakakuta ni hayo mafuta . Kwa kua ni bag hua siingii nayo ndani ya ndege haikua tatizo. Hata hiyo jana nlifuatana nao wakenya au wazambia. Sijajua zaidi nini hiyo?

PakaJimmy amejitahidi kukuelewesha bado unaendeleza ubishi.
 
Nafurahi kwa maelezo yako. Sikulalamikia ukaguzi wao. Ni vile machine imewaonesha kitu walichotilia mashaka kipo upande gani? Hivyo angetazama upande huo...lakin kakagua bag zima. Na hakukuta kitu cha hatari. Maswali mengine ya ajab...hivyo hivyo kuna siku nlifuatana na wakenya nkakaguliwa wakaona chupa ya uturi(perfume) ikawa issue..nikawafungulia tena wakakuta ni hayo mafuta . Kwa kua ni bag hua siingii nayo ndani ya ndege haikua tatizo. Hata hiyo jana nlifuatana nao wakenya au wazambia. Sijajua zaidi nini hiyo?
Mjomba,
Haya ukiyarahisisha ni mambo simple sana...ukicomplicate akili yako basi utaona dunia ngumu sana!.
Nijuavyo mimi, ni kwamba wale jamaa waache wafanye chochote wanachotaka kwenye begi lako...kama huna mzigo wa hatari kwanini uwe na mashaka?...Unapoonyesha kuwaongoza au kuchukia ndipo unavuta attention yao yote, na watahakikisha wanafanya ukaguzi wa ziada!
Saikolojia ya abiria anapokaguliwa ni ya muhimu sana!...Ukiona abiria anakuwa mbishi mbishi au anazuia mambo fulani yasifanyike, basi jua ana lake jambo!
Uturi ni katika bidhaa ambazo kwa miaka ya sasa zinaangaliwa kwa umakini sana katika mizigo ya abiria...kwa taarifa yako nilishuhudia abiria mwenzangu akiambiwa kuwa kama alichobeba ni perfum, basi ajipulizie mwilini ili ionekane kama haina madhara, na alifanya hivyo, ikawa ndio pona yake!
Hiyo ishu yako ya kupotelewa na nguo siamini kama ilifanywa kwa kudhamiria, huenda ilisahaulika tu!, si kawaida nguo kuibiwa(labda ingekuwa kitu valuable), ha ha haaa!
All in all POLE MaalimJumaa!
 
Back
Top Bottom