Mabagala
JF-Expert Member
- Nov 27, 2009
- 1,480
- 325
Ilitokea nikanunua na mimi ile kitu kutoka kwa wafanya biashara wale wa usiku, kutahamaki asbh nimeamka salaale sikuti laptop yangu, simu mbili, dola 250 za kimarekani, na laki unusu ambazo alitoa kwenye wallet. Nimeamua nifunguke baada ya kaka malima nae kuamua kuweka wazi yaliyompata, ila akumbuke vizuri inawezekana na yeye aliondoka na mfanyabiashara akaamua kumlamba kaka mkubwa. All in all pole sana kaka malima. Mdogo wako baada ya hapo niliachana kabisa na izo mambo