Dr. Chapa Kiuno
JF-Expert Member
- Sep 11, 2009
- 443
- 18
Wadau, huko nyuma tuliona jinsi Manchester United walivyokuwa wakichemsha endapo hiyo siku Ronaldo hakucheza! Je tatizo hilo ndyo limegeukia kwa Madrid?
Kwa mfano, mechi ya juzi dhidi ya Sevilla walichapwa 2:1 kama wamesimama huku Sevilla wakitawala mchezo mzima. na hiyo yote ni kwa sababu Ronaldo ni majeruhi...
Je! watatoka maana hata Rais wa ile timu amewaambia wajifunze kucheza bila Ronaldo.
Kwa mfano, mechi ya juzi dhidi ya Sevilla walichapwa 2:1 kama wamesimama huku Sevilla wakitawala mchezo mzima. na hiyo yote ni kwa sababu Ronaldo ni majeruhi...
Je! watatoka maana hata Rais wa ile timu amewaambia wajifunze kucheza bila Ronaldo.