Sizinga
Platinum Member
- Oct 30, 2007
- 9,100
- 6,022
JK wakati akiwa Mtwara aliahidi kuwa Mtwara patakuwa kitovu kikubwa cha viwanda, ameahidi atajenga kiwanda kikubwa cha mbolea na cement chenye uwezo wa kutoa tani milioni 5 kila mwaka...
Kaahidi kiwanda cha Makaratasi chenye wawekezaji wa Kijapan,na kuna mpango wa kuotesha miti mingi ya makaratasi hapa Mtwara.
Katenga Shiling bil. 31 kwa ajili ya mradi wa maji
Kaahidi bei ya korosho kwa kilo ni shiling 1700 .
Gonga hapa kujionea mwenyewe.
Kaahidi kiwanda cha Makaratasi chenye wawekezaji wa Kijapan,na kuna mpango wa kuotesha miti mingi ya makaratasi hapa Mtwara.
Katenga Shiling bil. 31 kwa ajili ya mradi wa maji
Kaahidi bei ya korosho kwa kilo ni shiling 1700 .
Gonga hapa kujionea mwenyewe.