ladyfurahia
JF-Expert Member
- May 10, 2011
- 14,699
- 9,461
Mwenzenu nilikuwa silali wa sitambai kwani yale mafuriko yalikuwa si mchezo ilikuwa ni balaa tupu maana sijawahi kuona
kaitika macho yangu ndugu zetu kufa kiasi kile na serikali inatudanganya kuwa wamekufa wachache kumbe lukuki yaani mwenzenu nililia kiasi cha kuona uchungu wa kuploteza ndugu zangu na wengine kukosa makazi, ilinitia uchungu sana wewe ushazoea mahali fulani pa kukupatia riziki unaambiwa uende magwepande je utaishije huko je huduma zile za kijamiii utazipataje nua je shughuli zako au biashara zako utazifanyeje wakati mahali ulipozoea ni hapo ndugu zangu waungwana ingelikuwa ni wewe ungefanyaje?
kaitika macho yangu ndugu zetu kufa kiasi kile na serikali inatudanganya kuwa wamekufa wachache kumbe lukuki yaani mwenzenu nililia kiasi cha kuona uchungu wa kuploteza ndugu zangu na wengine kukosa makazi, ilinitia uchungu sana wewe ushazoea mahali fulani pa kukupatia riziki unaambiwa uende magwepande je utaishije huko je huduma zile za kijamiii utazipataje nua je shughuli zako au biashara zako utazifanyeje wakati mahali ulipozoea ni hapo ndugu zangu waungwana ingelikuwa ni wewe ungefanyaje?