Yako wapi Maamuzi ya Kikao cha CHADEMA?

Baada ya kamati kuu ya ccm kutoa maamuzi mazito,cc ya cdm imeshindwa kutoa maamuzi baada ya kukosa cha kutaarifu umma.
 
Kagamba kadogo wewe! Humtishi mtu, mambo ya CDM ni kwa ajili ya ukombozi wa Watanzania, Magamba mtalia na kusaga meno -

ahahahahaha,Botilo,
i have read your post with a big smile.

Shortly niliacha ajira mwenyewe sometime back katika offisi moja kubwa na ya kimataifa.

Sitarajii kuajiriwa na mtu awaye yeyote kwani nimeshavuka viwango vya kuajiriwa na sasa na ajiri watu.

For that case not even Chadema can employ me kwa lolote hata kwa kunipa ubunge bule.Nimevuka mpaka wa kutamani kazi ya mshahara,naipenda kazi yangu ya kimachinga.

Semeni yakwenu,yangu niachieni mwenyewe maana hamtanipata popote.
 
Hili la kufukuza madiwani nililisikia nikashangaa. Diwani alichaguliwa na watu hivyo si busara kufukuzwa na maamuzi ya mtu mmoja. Kama katiba ya CDM inampa katibu iwezo huo basi kipengele hicho cha katiba hakifai hata kidogo. Tunapinga katiba ya nchi kimpa rais madaraka makubwa iweje katiba ya Chama impe katibu madaraka ya aina hiyo? Hivi sasa tunapigana watu waliochaguliwa na wananchi wasipoteze viti vyao kwa sababu ya kufukizwa na vikao vya chama kwa kuwa hawa walichaguliwa na watu ambao ni wanachama wa chama cha aliyechaguliwa na wengine siyo wanachama hivyo basi madaraka ya kuwavua uongozi yarudishwe kwa waliowachagua na siyo mtu mmoja kuamua.

kinacho kushangaza nini,yaani ata kama umechaguliwa na wananchi ufanye unayotaka bila muongozo wa chama kilichokupa ridhaa uachiwe tu uvuruge chama.

Sina uhakika na muongozo huo.
 
Mkuu Bukanga kumbe ulishabadili ile avatar yako. Safi sana. Mkuu mimi ni mnafiki kwa kuwa sina mahaba na chama nina mahaba na nchi. Kwa hiyo kama si mwanachama wa CDM nikisema baya la CDM utaniona mnafiki.

How do u practice that coz our politics are so exclusively partisan?

Mi nina maono na ethics zangu binafsi na za tz lakini naangalia zainaendana na nani (itikadi) kisha najiunga ili zitekelezwe/zitimie. Sasa wewe kama una zako zinaegemea wapi?
 
Good point.

kipimo cha hekima , unajua paka ukimning'iniza kwa kushika miguu yake ikielekea juu hata kwa kimo gani ukimwachia lazima hatue na miguu. hoja zinakuja nyingi sana jamvini jaribuni kuwa na subira na hekima za kuzijibu.
 
Kimbunga,
Taarifa zitatolewa tu muda si mrefu, ni bahati nzuri au mbaya kwamba hakuna taarifa yoyote iliyovuja ndio maana unaona watu wanahangaika huku na kule hadi kuzusha ya kuzusha lengo lao wapate kujuzwa.

Tuntemeke nimemuona kama kawaida yake. Nimempa changamoto ataje diwani aliyewahi kufukuzwa na Dr. Slaa kwakuwa najua katibu mkuu hana mamlaka hayo lakini hajanijibu na thread imeshapotezwa.

Nimeona na wewe unataka kukubaliana na hoja hiyo, unamkumbuka diwani yeyote aliyefukuzwa chadema na utaratibu gani ulitumika kumfukuza??
Mkuu Mwita Maranya hilo la kufukuza viongozi nililisikia kupitia vyombo vya habari nikashangaa na wala sikulifuatilia. Ilikuwa ni wakati ule Dr. Slaa yupo ziarani huko Sengerema ama Geita. Sasa leo naliona hapa ndio nikaandika post hiyo kwa kuwa haitakuwa sahihi kwa mtu mmoja kufukuza watu waliochaguliwa na wananchi.
 
Last edited by a moderator:
How do u practice that coz our politics are so exclusively partisan?

Mi nina maono na ethics zangu binafsi na za tz lakini naangalia zainaendana na nani (itikadi) kisha najiunga ili zitekelezwe/zitimie. Sasa wewe kama una zako zinaegemea wapi?
Mkuu unaweza ukawa huna upande lakini unachangia. Kwenye demokrasia unachagua uwe upande gani. Pia mkuu ndio maana unaona kuna independents yaani wasio na chama japo hapa Tanzania haturuhusiwi kugombea bila chama lakini tunapiga kura. Hivyo si lazima uwe na upande. CCM wanasema wana wanachama millioni nne CDM na vyama vingine sijui lakini Watanzania wengi si wanachama wa vyama.
 
Mkuu Mwita Maranya hilo la kufukuza viongozi nililisikia kupitia vyombo vya habari nikashangaa na wala sikulifuatilia. Ilikuwa ni wakati ule Dr. Slaa yupo ziarani huko Sengerema ama Geita. Sasa leo naliona hapa ndio nikaandika post hiyo kwa kuwa haitakuwa sahihi kwa mtu mmoja kufukuza watu waliochaguliwa na wananchi.

Next time try to be attentive to details ili usiingizwe chaka. Magazeti yenyewe jambaleo na uhuru?
Achana na story za vijiwe vya majungu place.
 
Last edited by a moderator:
Mkuu Mwita Maranya hilo la kufukuza viongozi nililisikia kupitia vyombo vya habari nikashangaa na wala sikulifuatilia. Ilikuwa ni wakati ule Dr. Slaa yupo ziarani huko Sengerema ama Geita. Sasa leo naliona hapa ndio nikaandika post hiyo kwa kuwa haitakuwa sahihi kwa mtu mmoja kufukuza watu waliochaguliwa na wananchi.
We Kimbunga, hivi hujui umuhimu wa maspika makubwa yenye watts 25,000? Yaani hao viongozi wa Sengerema wameharibu kwa kushindwa kuandaa vipaza sauti.Kwa hiyo ridhaa ya wana Sengerema lazima ipigwe chini.Kumbuka Nyerere alihutubia mikutano na maspika makubwa mno!!!!
Sadleir.jpg
 
kinacho kushangaza nini,yaani ata kama umechaguliwa na wananchi ufanye unayotaka bila muongozo wa chama kilichokupa ridhaa uachiwe tu uvuruge chama.

Sina uhakika na muongozo huo.
Hapa issue siyo kufanya bila mwongozo. Hapa ni utaratibu wa kufukuzana. Demokrasia nzuri haiwezi kuruhusu mtu mmoja kufukuza viongozi waliochaguliwa na wananchi. Uwepo utaratibu wa kichama ambao vikao ndivyo vitafanya maamuzi. Kwa hiyo mama unaona ni sawa tu mtu mmoja kufukuza viongozi waliochaguliwa na wananchi? Naona wanachama wengine wamekanusha mtu mmoja kuwa na mandate ya kufukuza watu kwa kuwa wanajua demokrasia tunayopigania.
 
Next time try to be attentive to details ili usiingizwe chaka. Magazeti yenyewe jambaleo na uhuru?
Achana na story za vijiwe vya majungu place.
Mwita nimekuambia sikufuatilia nilisikia tu kwenye vyombo vya uabari na sija conclude hilo. Nimeweka angalizo kama kweli hilo lilitokea. Mkuu soma basi post kwa makini.
 
Mwita nimekuambia sikufuatilia nilisikia tu kwenye vyombo vya uabari na sija conclude hilo. Nimeweka angalizo kama kweli hilo lilitokea. Mkuu soma basi post kwa makini.

Kimbunga,
Mimi na wewe tunafahamiana kitambo hapa JF. Unafikiri nisingekuwa nasoma post kwa makini ningeendelea kukusisitia umuhimu wa kuwa makini na habari za kusikia?

Ndio sababu nikawapa changamoto wote wanaodhani Dr. Slaa amekuwa akiwafukuza toka uongozini viongozi waliochaguliwa na wananchi lakini hadi sasa sijaona jina hata moja! Unataka umakini gani tena mkuu zaidi ya huo?
 
kinacho kushangaza nini,yaani ata kama umechaguliwa na wananchi ufanye unayotaka bila muongozo wa chama kilichokupa ridhaa uachiwe tu uvuruge chama.

Sina uhakika na muongozo huo.

kwaio watu wakivuruga chama Slaa anajiamulia tu na u-mungu mtu wake?

Mi nakushauri we mama ukae kimya uache kiherehere,maana unajifanya na wewe kiongozi wa chama,kama Slaa umeshamtengeneza ukamuweka kiganjani usifikiri hicho chama chenu,watu wanakuonea aibu tu unavyobwatukaga hapa...siasa uwezi mama kaa nyumbani umsubirie Kasisi akitoka kuingiza siku umburudishe ndio kazi unayoiweza,usitake kujipenyeza kwenye chama..
 
wee josophine kaa kimya mama!!! kaa kimyaaa!!!utaitukanisha familia yako bureeeee!!!!!...........au ndo unataka ujioneshe kua ndo mrs slaa???
 
wee josophine kaa kimya mama!!! kaa kimyaaa!!!utaitukanisha familia yako bureeeee!!!!!...........au ndo unataka ujioneshe kua ndo mrs slaa???

eti siku izi maswala ya Slaa umu JF ndio kageuka m2 wa kujibu,mbaya zaidi anatema pumba tu...uyu ''kimada'' bure kabisa.
 
wee josophine kaa kimya mama!!! kaa kimyaaa!!!utaitukanisha familia yako bureeeee!!!!!...........au ndo unataka ujioneshe kua ndo mrs slaa???

Kusema kweli post zake zimekuwa controversial sana humu ndani hasa wakati anajibu hoja mbalimbali. Anamuita kila mtu Tuntemeke! Anapingana na post za viongozi wa CDM; mfano ni post ya Katibu wa CDM Iringa ndugu Allan.

Nadhani atajirudi punde. Inatosha
 
Back
Top Bottom