Tutor B
JF-Expert Member
- Jun 11, 2011
- 9,025
- 6,554
Godfrey Lema ndo nani huyo? Au umeamka nazo za jana?Ukiondoa mgogoro wa hoja ya zito bungeni hoja nyingine zilizovuruga kikao hadi kuvunjika ni hizi:
1.Mwisho naomba kuhoji UWEPO WA GODFREY LEMA kwenye kikao cha KAMATI KUU kilichomalizika jana,kimsingi ameshapoteza sifa ya kuwa mjumbe wa kamti kuu tangu alipotenguliwa ubunge..Lakini Dr.slaa ulimwita kuhudhuria kikao kama nani?
.
Source:Tuntemeke