Kidogo chetu
JF-Expert Member
- Nov 27, 2009
- 1,432
- 992
MKIGOMA kweli umefilisikahuyo zitto wamfukuze aende kwenye chama chao cha waislam hiki ni chama chetu wakristo.
ukishasikia aende kwa wenzake kama hivi jua kuna siku watasema sisi ni KKKT yule ni RC maana baada ya muislam kuondoka chama kitabaki cha wakristu , hapo wataanza huyu RC,TAG,na sie ni wa malasusa hapo tena ushirika hakuna. likiisha hilo litakujawao si wa kanda yetu,likipita hilo watasema sisi tuna asili ya biashara hawa wengine wametoka wapi?