Kaka mwisho
JF-Expert Member
- Dec 19, 2011
- 402
- 165
Sababu kuu ya migomo vyuoni kwasasa ni kucheleweshewa kupatiwa fedha zao ambazo kwasasa zinatolewa na vyuo husika, mpaka sasa udom baadhi bado hawajapata hata la kwanza na la pili muda wake umefika nalo bado hawajapewa. Maisha dom kla kitu kinahitaji pesa. Uongozi upo kimya hata tukihoji hatupewi jibu la msingi. Je udom yakitokea kama udsm na st john nani alaumiwe?