Hapana mtoto anapozaliwa anakuwa tayari ana ubongo na anapofikisha miaka 2 ukubwa wa ubongo wake uwa ni 80% sawa na ukubwa wa ubongo wa mtu mzima.Nimeipata Elimu Mkuu.Kuna project wameanzisha Marekani na ulaya kuhusu GENOM wanataka wapate jibu who exactly we are. Nadhani wakiimaliza Mambo mengi kuhusu ubongo yatajulikana.Kuna mtu aliniambia Mtoto akizaliwa huwa hana ubongo ila huwa kadiri anavyokuwa mkubwa na ubongo unagrow na kuongezeka sambamba na ukuaji wa mtoto.Hili unalijuaje?
Mkuu Fion,kupoteza kumbukumbu kunaweza sababishwa na vitu vifuatavyo ukitoa ulivyovisema wewe;
-utumiaji wa baadhi ya madawa ya viwandani kwa mda mrefu hasa antidepressants,anti anxiety na baadhi ya muscle relaxants.
-kutopata usingizi wa kutosha na bora.
-msongo wa mawazo kw mda mrefu
-uvutaji wa sigara, tumbaku,kokeni na heroini
-unywaji wa pombe
-kujichua(kupiga nyeto) kwa mda mrefu pia huathiri uwezo wa ubongo kukumbuka.
Nacheka kwa dharau ihi....nimekumis dda akee1933 halafu 1988 darasa la 3?
Sio case anyway....huenda ni elimu ya watu wazima.
Mishu more kakake.Nacheka kwa dharau ihi....nimekumis dda akee
kupatia utajiri. Ukitumia chini ya hapo wewe andika fukara Wa milelenaskia tunatumia asilimia 10 tu ya ubongo
lete ukweliSi kweli kwamba tunatumia 10% tu ya ubongo wetu na mpaka sasa hakuna ushaidi wa kisayansi uliotolewa na mwanasanyansi yoyote kuonyesha kwamba tunatumia 10% tu ya ubongo wetu.
uongo huu wa kwamba tunatumia 10% tu ya ubongo wetu ulianzishwa na watu waliowanukuu na kuelewa vibaya kwenye mojawapo za nukuu za Albert Einstein na Piere Flourens(1800).
wengine pia walimnukuu na kumwelewa vibaya William James(1908) aliyesema, "We are making use only a small part of our possible mental na physical resources"
pia kuna mwanabaiolojia,Lashleyalishikilia bango uongo wa 10% ya matumizi ya ubongo, yeye alikata kipande kidogo cha ubongo wa panya kutoka kwenye frontal cortex ya cerebral hemisphere, na kugundua kwamba baadhi ya matendo yanayoongozwa na kipande cha ubongo kilichokatwa yameweza kuonenaka tena kwa panya kupitia kujifunza hivyo akaja na hitimisho la 10% kwa mwanadamu kitu ambacho si kweli.
Ukweli ni kwamba, kila eneo la ubongo wa mwanadamu lina kazi hivyo kuufanya ubongo kutumika kwa asilimia 100.lete ukweli