Haswa nakuunga mkono!!! Kuna watu wanaacha kumuabudu Mungu wanaabudu dini na kujikuta njiapandaKutokua na dini, au kutoamini dini fulani ni tofauti kuamini uwepo au kutokuwepo kwa mungu.
Mtu anaweza asiwe na dini lakini anaamini mungu yupo.
Hii dhana ya kuamini muumini wa dini fulani ndio mwenye kuamini uwepo wa mungu inatia shaka hasa ukizingatia matendo na maisha wanayoishi na hizo dini zao.
Nakubaliana naww na pia tukumbishane dini sio Mungu!!!Tatizo lako unajua dini ni ukrisitu na uisilamu hayo mataifa yote yana dini zake memyewe sio za kuletewa na mitumbwi kama ya kwako wewe
Hahahhahhaha!!! Km wapo wanasiasa wanaofanya hivyo ujue kabisa misingi ya imani zao zipo huko na sio kwa MunguBongo bila ndumba mbona wanasiasa watakufa njaa
Kwa kosa lipi?Ole wao, kiama kinakuja, na ghadhab ya MUNGU itakuwa juu yao
Ghadhabu ya Mungu yupi?!Ng'ombe,babu,ukomunisti au nini?Ole wao, kiama kinakuja, na ghadhab ya MUNGU itakuwa juu yao