Jindal Singh
JF-Expert Member
- Sep 9, 2015
- 1,853
- 1,521
Tatizo mmekariri ujasusi ni maslahi ya taifa, la hasha ujasusi ni kama kazi ya kupata hela ili kujikimu kimaisha na kuwaandalia watoto wako na si wajirani maisha baada ya wewe kufa.ISI hamna kitu..pakistan is a corrupted country intelligence yao hamna kitu kk..inaweza hata kuzidiwa na TISS