Yajue Madhara ya Vipodozi vyenye Kemikali na Vipodozi Vilivyopigwa Marufuku

Inatisha.

Lakini si kwenye vipodozi tu. Hata kwenye sekta zingine mambo ni hayo hayo tu.

Kwa mfano bidhaa za vyakula vilivyosindikwa vinavyotoka nchi za nje zipo nyingi tu ambazo huwa zimemaliza muda wake lakini bado huuzwa madukani.

Ni watu wachache sana ambao hujihangaisha kusoma tarehe ya mwisho wa ubora.
na kuna wengine wanasoma na bado wanapuuzia.
 
sasa lawyer ukileta info kama hizi inabidi utushauri tupake nini tuuachane na hivo vipodozi. au mtuelekeze kwa maspeshalist wa ngozi kabisaaa.

Lawyers hatushauri kupaka au kutopaka wanja.

Ila kama ukitumia kipodozi halafu kikakudhuru hapo ushauri wetu utakuwa relevant.

Partner wangu snowhite ni specialist kwenye hizo anga.
 
Last edited by a moderator:
Inatisha.

Lakini si kwenye vipodozi tu. Hata kwenye sekta zingine mambo ni hayo hayo tu.

Kwa mfano bidhaa za vyakula vilivyosindikwa vinavyotoka nchi za nje zipo nyingi tu ambazo huwa zimemaliza muda wake lakini bado huuzwa madukani.

Ni watu wachache sana ambao hujihangaisha kusoma tarehe ya mwisho wa ubora.

Labda ndo maana imedaiwa kuwa asilimia 50 ya wagonjwa wanaotibiwa Muhimbili, kitengo cha Fiziotherapia, wanaumwa magonjwa yasiyoambukiza.

Baadhi ya magonjwa hayo ni pamoja na shinikizo la damu, kisukari, kuwa na mafuta mengi mwilini, kuongezeka uzito.

Lakini pia kuna kundi kubwa la wagonjwa wa kiharusi, uchakavu wa viungo na watoto wenye mtindio wa ubongo.

Watu wengi wameshindwa kupata elimu ya kuzuia magonjwa hayo yanayosababishwa na maisha yasiyozingatia misingi ya afya bora.

https://www.jamiiforums.com/jf-doctor/532593-magonjwa-yasiyoambukiza-yashika-kasi-tanzania.html
 
....huku wakifanya social media masturbation

hahahaah!!! halafu maelezo yako ya social media masturbation yaliniacha hoi, yaani mtu anajifungulia ID nyingine, moja anapost mwenyewe ID nyingine anamasturbate. lol. kazi ipo jamani kwenye hii mitandao.
 
Hihiii

Nasikia hii ndio habari ya mujini lolz
Na ingine inakuja kwa kasi cjui queen eliza mweeee..
ushamba mzigo

Nasikia Vipodozi asilia ndo habari ya mujini. Kiafya vipodozi vinavyodaiwa ni vya asili vipoje? Vimepitishwa na vyombo husika?

mwali+singo.jpg


singo.jpg


Mwali Singo ni Mchanganyiko wa Unga za Asili ikiwemo unga wa Liwa, dengu na manjano. Unga huu unaweza kuchanganywa na maji ya liwa au ya rose kusugulia usoni na mwili mzima kuifanya ngozi yako ing'ae na kupendeza.

IMG_20131220_084303.jpg


Mawese Body Cream ni Cream iliyoandaliwa na mafuta ya asili ya mawese, inasaidia sana kung'arisha ngozi. Kwa wale walioharibika baada ya kutumia cream kali, cream hii ya asili itasaidia kuondoa wekundu na weusi wa machoni pamoja na michirizi iliyosababishwa na cream kali.

liwa.jpg


Maji ya liwa na Sabuni ya liwa vinasaidia sana kuondoa chunusi na mafuta usoni ndani ya wiki mbili tu unaona mabadiliko.

mchai.jpg


Mafuta haya ni mazuri sana kwa massage, ni malaini na yanaharufu nzuri mnooo.Yanasaidia sana kupunguza maumivu ya sehemu mbalimbali za mwili,harufu yake nzuri inasaidia sana kukufanya uweze pumzisha akili na kuondoa msogo wa mawazo.
 
turmeric.JPG


Deodorant ya asili, ni nzuri kwa wale wenye harufu kali na jasho sana makwapani, pia nzuri kwa wale ambao wana tokwa na mapele au weusi, muwasho au kupatwa na madhara mbalimbali wakitumia deodorant zenye kemikali. Inauwezo wa kukaa zaidi ya miezi 6 mpaka mwaka. Kama imepishwa na vyombo husika sijui.

cc Nyani Ngabu
 
Na wanja si ni kipodoz au?? Mi wanja siachi ng'ooooo

No wonder anaongoza kwa uzuri duniani. Uso tuu unatupagawisha. Akiacha wazi kwingine je?

Huyu ukikutana nae anga fulani waweza kutoka nduki.



Fathima+Kulsum+Saudi+Arabia+queen+1.jpg
 
No wonder anaongoza kwa uzuri duniani. Uso tuu unatupagawisha. Akiacha wazi kwingine je?

Huyu ukikutana nae anga fulani waweza kutoka nduki.



Fathima+Kulsum+Saudi+Arabia+queen+1.jpg

Unanichokoza eee hujui huyo ni mimii
 
  • Thanks
Reactions: EMT
jicho shurti litiwe wanja shosti, wanja sunna. hakuna kuacha.

Utie usitie wanja ili kuujua uzuri wako wa bila poda nitakuzukia asubuhi na mapema kabla jua halijachomoza.
 
Back
Top Bottom