MANI
Platinum Member
- Feb 22, 2010
- 7,321
- 6,375
Salaam Wakuu,
Hatua ya kuanzisha thread si mbaya, kama mnaweza kunisifia publicly si vibaya pia kunikosoa publicly. Yalikuwa maoni binafsi na hayakulenga kumdhihaki mwanahabari yeyote, ama kuufunga mjadala juu ya Dr.Ulimboka kwani si jukumu langu wala sina dhamana hiyo.
Inawezekana kabisa kuna kupishana katika mawazo juu ya jambo fulani, hakumaanishi mtandao wala kumtumikia mtu yeyote kwa manufaa binafsi.
Napenda kutambua na kuheshimu kupishana huko katika fikra, lakini pia kuomba radhi sana kama matamshi yangu yamekwaza harakati muhimu katika sakata hili.
Maangalizo na Ushauri umezingatiwa.
Ahsanteni Wanajamvi
Yahya M
Binadamu kukosea ni kitu cha kawaida na haswa ukijua kama umekosea ndio inakuwa vizuri!