Kiby
JF-Expert Member
- Nov 16, 2009
- 6,897
- 4,620
Pamoja na kwamba hatuamini katika unajimu, wala hatutoi usikivu wetu kwenye hizi ndumba hatari inayoikabili jamii ya watz ni kwamba huyu sheikh Yahya anayatumia majini katika kazi yake. Sasa katika kuhakikisha hizi mindsetting zake zinatimia atayatuma kwa mtu mwenye jina linaloanzia na herufi alizozitaja kutimiza azma yake. Mtu anaweza kufa kwa ajali, ugonjwa wa moyo, pumu nk na sayansi inathibitisha hivyo. Ila chanzo cha hayo magongwa ni maruhani katika ulimwengu wa kiroho ambapo science haipati kitu hapo. WANAJIMU WAMEKUWA WASEMAJI WA MASWALA YA KITAIFA TUSIPO JISAHIHISHA TUSIJESHANGAA NCHI YETU KUYAPATA YA HAITI.