Judgement
JF-Expert Member
- Nov 13, 2011
- 10,327
- 4,779
Nijuavyo mie, binadamu amejengeka na viungo kadhaa mwilini mwake .
Mf. Pua , Macho , Maskio, Kidevu , Magoti n.k n.k
Aidha viungo husika , idadi yake inaendena na kanuni ya maumbile ilivyo.
Mathalan Macho hua mawili , likipungua moja taswira hubadilika ikaitwa Chongo, hayapo yote Kipofu , Pua moja, Meno 32 , vidole 20, Nywele sijui , Mdomo mmoja n. K n. K .
Nilichokikusudia hapa ni kuhusu viungo viwili , ambavyo ni
"Mashavu na Shingo"
Nijuavyo mimi Binadamu wana Shingo moja na Mashavu mawili .
Hata hivyo huku mitaani wako watu wanasema binadamu wana Shingo mbili na Mashavu ma4 Sina elimu sana ktk hili !
Wenye utambuzi mnipe mdadavuo kuna ukweli ktk hilo ?
Mf. Pua , Macho , Maskio, Kidevu , Magoti n.k n.k
Aidha viungo husika , idadi yake inaendena na kanuni ya maumbile ilivyo.
Mathalan Macho hua mawili , likipungua moja taswira hubadilika ikaitwa Chongo, hayapo yote Kipofu , Pua moja, Meno 32 , vidole 20, Nywele sijui , Mdomo mmoja n. K n. K .
Nilichokikusudia hapa ni kuhusu viungo viwili , ambavyo ni
"Mashavu na Shingo"
Nijuavyo mimi Binadamu wana Shingo moja na Mashavu mawili .
Hata hivyo huku mitaani wako watu wanasema binadamu wana Shingo mbili na Mashavu ma4 Sina elimu sana ktk hili !
Wenye utambuzi mnipe mdadavuo kuna ukweli ktk hilo ?