Herbalist Dr MziziMkavu
JF-Expert Member
- Feb 3, 2009
- 42,318
- 33,125
<table style="width: 491px; height: 277px;" border="0" cellpadding="0" cellspacing="0"><tbody><tr><td colspan="3" style="padding-left: 10px; padding-top: 5px; width: 491px;"></td> </tr> <tr style="background-color: rgb(225, 225, 225); padding-top: 10px;"> <td style="width: 250px; padding-left: 5px; padding-bottom: 5px; padding-top: 5px;" valign="top">
Vipande vya mwili wa mwanaume aliyegongwa na treni akiwa amelala juu ya reli</td> <td style="padding-left: 10px; width: 316px;" valign="top">
Hizi ni picha za kusikitisha za mwanaume ambaye jina lake halijapatikana ambaye alifariki dunia jana baada ya kugongwa na treni akiwa amelala juu ya reli maeneo ya keko darajani.</td> </tr> <tr> <td colspan="3" style="vertical-align: top; width: 491px;"> Mwanaume huyo inasadikika alifanya makazi yake chini ya daraja la keko ambapo reli inakatiza.
Kwa kuwa reli hiyo ilikuwa haitumiki kwa muda mwingi kijana huyo aliamua kufanya sehemu ya kulala na jana serikali ya Tanzania ilitangaza kuwa safari ya treni ya kuelekea Kigoma , mwanza, mpanda itaanza baada ya matengenezo ya daraja lililokuwa limeharibika kutengenezwa,
Bila kujua kama kuna mtu tayari kichwa cha treni kilipita katika njia yake huku jamaa akiwa amepitiwa na usingizi katika reli na kukanyagwa hadi kufa.
Chini ni Linki ya picha za ajali hilo.
ONYO: Kama una moyo mwepesi usisumbuke kuangalia hapa chini
Mtu mmoja ambaye jina lake halikufahamika mara moja amegongwa na treni katika eneo la Keko darajani jijini Dar es Salaam, wakati alipopitiwa na usingizi juu ya reli. Kijana huyo inasadikika alikuwa akiishi chini ya daraja hilo ambapo kuna njia ya reli.
Mtu mmoja ambaye jina lake halikufahamika mara moja amegongwa na treni katika eneo la Keko darajani jijini Dar es Salaam, wakati alipopitiwa na usingizi juu ya reli. Kijana huyo inasadikika alikuwa akiishi chini ya daraja hilo ambapo kuna njia ya reli.
Mtu mmoja ambaye jina lake halikufahamika mara moja amegongwa na treni katika eneo la Keko darajani jijini Dar es Salaam, wakati alipopitiwa na usingizi juu ya reli. Kijana huyo inasadikika alikuwa akiishi chini ya daraja hilo ambapo kuna njia ya reli.
</td></tr></tbody></table>
Vipande vya mwili wa mwanaume aliyegongwa na treni akiwa amelala juu ya reli</td> <td style="padding-left: 10px; width: 316px;" valign="top">
Hizi ni picha za kusikitisha za mwanaume ambaye jina lake halijapatikana ambaye alifariki dunia jana baada ya kugongwa na treni akiwa amelala juu ya reli maeneo ya keko darajani.</td> </tr> <tr> <td colspan="3" style="vertical-align: top; width: 491px;"> Mwanaume huyo inasadikika alifanya makazi yake chini ya daraja la keko ambapo reli inakatiza.
Kwa kuwa reli hiyo ilikuwa haitumiki kwa muda mwingi kijana huyo aliamua kufanya sehemu ya kulala na jana serikali ya Tanzania ilitangaza kuwa safari ya treni ya kuelekea Kigoma , mwanza, mpanda itaanza baada ya matengenezo ya daraja lililokuwa limeharibika kutengenezwa,
Bila kujua kama kuna mtu tayari kichwa cha treni kilipita katika njia yake huku jamaa akiwa amepitiwa na usingizi katika reli na kukanyagwa hadi kufa.
Chini ni Linki ya picha za ajali hilo.
ONYO: Kama una moyo mwepesi usisumbuke kuangalia hapa chini
Mtu mmoja ambaye jina lake halikufahamika mara moja amegongwa na treni katika eneo la Keko darajani jijini Dar es Salaam, wakati alipopitiwa na usingizi juu ya reli. Kijana huyo inasadikika alikuwa akiishi chini ya daraja hilo ambapo kuna njia ya reli.
Mtu mmoja ambaye jina lake halikufahamika mara moja amegongwa na treni katika eneo la Keko darajani jijini Dar es Salaam, wakati alipopitiwa na usingizi juu ya reli. Kijana huyo inasadikika alikuwa akiishi chini ya daraja hilo ambapo kuna njia ya reli.
Mtu mmoja ambaye jina lake halikufahamika mara moja amegongwa na treni katika eneo la Keko darajani jijini Dar es Salaam, wakati alipopitiwa na usingizi juu ya reli. Kijana huyo inasadikika alikuwa akiishi chini ya daraja hilo ambapo kuna njia ya reli.
</td></tr></tbody></table>