Chilisosi JF-Expert Member Oct 19, 2008 3,051 747 Sep 3, 2015 #1 Yaani hata kama una akili ya nyumbu utashindwa kujua kua kuna tatizo?
P Papa1 JF-Expert Member Apr 21, 2012 2,017 2,208 Sep 3, 2015 #2 Wamshuka njiani kutoka treni iendayo Magogoni. Treni inafika tarehe 25/10/2015
kensh JF-Expert Member Jul 19, 2012 527 113 Sep 3, 2015 #3 IKIWA WEWE NI MKRISTO, Yesu alikua na wanafunzi 12, alipokua anakamatwa na kukamatwa,wale wanafunzi waliendelea kumfuata?
IKIWA WEWE NI MKRISTO, Yesu alikua na wanafunzi 12, alipokua anakamatwa na kukamatwa,wale wanafunzi waliendelea kumfuata?
Mkaruka JF-Expert Member Feb 5, 2013 19,617 34,062 Sep 3, 2015 #4 Chilisosi said: Yaani hata kama una akili ya nyumbu utashindwa kujua kua kuna tatizo? View attachment 283360 Click to expand... Yeah ni kweli ni masaliti makubwa mungu Mbowe amesema
Chilisosi said: Yaani hata kama una akili ya nyumbu utashindwa kujua kua kuna tatizo? View attachment 283360 Click to expand... Yeah ni kweli ni masaliti makubwa mungu Mbowe amesema
Safari_ni_Safari JF-Expert Member Oct 5, 2007 23,268 17,097 Sep 3, 2015 #5 Ukienda kinyume nanwenzio hata katika kufanya dhambi wewe ni msaliti
Chilisosi JF-Expert Member Oct 19, 2008 3,051 747 Sep 3, 2015 Thread starter #10 Safari_ni_Safari said: Ukienda kinyume nanwenzio hata katika kufanya dhambi wewe ni msaliti Click to expand... Kwahiyo, nadhani hapo Mbowe ndio msaliti kwa sababu kaenda kinyume na wenzake
Safari_ni_Safari said: Ukienda kinyume nanwenzio hata katika kufanya dhambi wewe ni msaliti Click to expand... Kwahiyo, nadhani hapo Mbowe ndio msaliti kwa sababu kaenda kinyume na wenzake