Ilikuwa ni chemsha bongo. Kwamba umepewa vitu vitatu ambavyo ni simba, nyasi au majani na mbuzi .sasa uvivushe mto kimoja baada ya kingine usivushe zaidi ya kimoja na uhakikishe vinafika salama vyote so kumbuka ukivusha simba ukaacha mbuzi na majani ina maana mbuzi atakula majani na kama ukivusha majani nakuacha simba na mbuzi ina maana simba atakula mbuzi. Hebu niambie wewe utavushaje hivyo vitu.