TandaleOne
JF-Expert Member
- Sep 4, 2010
- 1,644
- 709
Jipangeni ndugu.2020 maana sasa mmechelewa.Huwezi kutumia tobo dogo moja kuingia ikulu.Unahitaji mlango mkubwa.Jifunzeni toka kwa Wycliff Jean.
Jipangeni ndugu.2020 maana sasa mmechelewa.Huwezi kutumia tobo dogo moja kuingia ikulu.Unahitaji mlango mkubwa.Jifunzeni toka kwa Wycliff Jean.
Wa kujipanga ni wewe uliyekurupushwa kujiunga na JF kwa ujira wa $%@@@
Hata milele na daima hakuna mtanzania mwenye akili timamu ambaye yupo tayari kukipa chama cha kidini ambapo ni kinyume cha katiba kuongoza nchi. kimepambwa na waandishi wwa habari kwa sababu ya waandishi na wahahriri ni waumini wao. kura yangu no please. kura za wasio wanachama wa imani no please. weende kwenye nyumba zao za ibada. kwa hiyo hakuna cha 2020 wala 20000
Hata milele na daima hakuna mtanzania mwenye akili timamu ambaye yupo tayari kukipa chama cha kidini ambapo ni kinyume cha katiba kuongoza nchi. kimepambwa na waandishi wwa habari kwa sababu ya waandishi na wahahriri ni waumini wao. kura yangu no please. kura za wasio wanachama wa imani no please. weende kwenye nyumba zao za ibada. kwa hiyo hakuna cha 2020 wala 20000