+1 ni usa
Sema unaweza kuta mbongo katumia server za usa kukupigia ili ujue katoka usa, mfano interntet calling
Unataka kuulimboka mtu eeechief tafadhari nielekeze namna ya kutumia server ya nje ili ionekane nimepiga simu toka nje.
chief tafadhari nielekeze namna ya kutumia server ya nje ili ionekane nimepiga simu toka nje.
Vitu vyote hivi unaweza kuvifanya kwa lengo gani?Tafuta service yoyote ya internet call mfano vyke tumia kupiga.
kama upo serious zipo namba za online ambazo zinauzwa unachagua nchi mfano hio usa and then hio namba yako inaunganishwa na namba yako ya tz mtu akiikol ile namba inaita kwako tz bila yeye kujua then unakua umetrick watu
Sometime inatokea unaweza kupata hizo namba bure pia
Unataka kuulimboka mtu eee
Vitu vyote hivi unaweza kuvifanya kwa lengo gani?
+120249234...? naomben msaada wenu kuna mtu kanpigia na no hii nataka kujua kama ni ya nnje au vp?
Vitu hivyo ukivifanya utafaidika na mambo yote ambayo mtumiaji wa simu wa marekani atafaidika nayo mfano:
-kupata offer mbalimbali anazopewa mwananchi wa marekani tu
-kuweza kuregister acount na ku subscribe huduma mbali mbali za wananchi wa marekani
-kudanganya watu kama mademu hivi kua huishi tz ili wakupende haraka