buhange
JF-Expert Member
- Oct 23, 2011
- 505
- 110
Ndugu wana JF,
Ni wakati mwingine wa kujadili na kuweka sawa maswala tata yanayoendana na maslahi ya taifa.
Kwa tukio la leo wakati TBC wakijaribu kurusha maadhimisho ya miaka 35 ya magamba kule Mwanza ndo hasa yamenisukuma nitupie uzi huu.
Hivi TBC inaonyesha sura gani kwa mwenendo wa utendaji wake kwa sasa?, hii ni televisheni ya taifa au? maana utendaji wa shirika hili unaweza kufanishwa kabisa na mwenendo wa Magamba, kila kitu kufanywa kwa uzoefu, habari inagoma kuruka hewani mpaka mara mbili?
Ni wakati mwingine wa kujadili na kuweka sawa maswala tata yanayoendana na maslahi ya taifa.
Kwa tukio la leo wakati TBC wakijaribu kurusha maadhimisho ya miaka 35 ya magamba kule Mwanza ndo hasa yamenisukuma nitupie uzi huu.
Hivi TBC inaonyesha sura gani kwa mwenendo wa utendaji wake kwa sasa?, hii ni televisheni ya taifa au? maana utendaji wa shirika hili unaweza kufanishwa kabisa na mwenendo wa Magamba, kila kitu kufanywa kwa uzoefu, habari inagoma kuruka hewani mpaka mara mbili?