Hoja ya j.makamba imemezwa, wajane wana nyanyasika, kigamboni imekufa nakuingia mdudu hatari wa siasa, magari yaliyotolewa na world bank kwamsaada wa kushuhulikia mambo ya ardhi ymeshindwa kulipiwa road insuarance, makadirio madogo ya badget yasio endana na utekelezaji pamoja na majukumu ya wizara. Sasa kunafaida gani kuwa nakiongozi asiye leta maendeleo ktk secta hata kama ni mnoko? Unoko tunao utaka niwakusimamia maendeleo endelevu, hatuna faida nakiongozi kamas Patric Rutabanzibwa anaye leta unoko uku secta ya ardhi ikididimia miradi ya maendeleo imekufa, miradi kama ya kigamboni,kurasini,makongo,arusha sakina,n.k yote imekufa..tunamkumbuka sana mama Balozi Salome Sijaona, JK tunaomba umhamishe huyu Rutabanzibwa anaimaliza secta ya Ardhi ambayo ndio secta mama ya maendeleo yoyote, shirika kama NHC lina endelea kwasababu haliko direct chini ya Rutabanzibwa, sina personal interest au chuki binafsi ila patrick rubanzibwa hatufai sisi wana nchi ktk secta ya ardhi