Ya Mwisho naacha Mapenzi......

majogajo

JF-Expert Member
Oct 9, 2011
317
44
Ndugu wana JF natanguliza shukrani kubwa sana kwa jukwaa hili........ takribani kila siku kumekuwa na Thread humu jukwaani za matatizo ya nguvu za kiume, japo zinakuja katika picha tofauti, nami nnakuja hapohapo..... Tatizo langu nimekuwa nnapata wakati mgumu kusimamisha wakati wa mechi. picha yenyewe inakuwa hivi... Ninapo panga appotment na bibie inshu inakuwa imesimama sana, mpaka bibie anapokuja geto bado inshu inakuwa imesimama ikiomba kitu, lakini tatizo ni pale nnapoanza kumuandaa bibie inshu inagoma na inalala dolo,najitahidi kupunguza mawazo,stress na kumpa manzi kila aina ya maandalizi, nagusa huku na huko kwa manzi ili kumweka katika hali nzuri na kuipa nafasi inshu isimame yenyewe lakini inashindikana na nakomea kuiangalia inshu tu. na gemu linakuwa mwisho hapo. kinachonishangaza tukiachana na bibie na akinipigia simu kuwa ashafika nyumbani inshu inasimama tena kuomba mambo. hii imetokea mara nne, na imefikia kipindi manzi amechoka na ameahidi ikitokea tena yeye na mimi basi maana amenivumilia sana na mimi jinsi nnavyompenda nahic ndo itakuwa mwisho wangu kwenye ulingo wa mapenzi na itanisaidia kupunguza kujiaibisha mbele za watu. Nsaidieni nifanye nini? ni tatizo la kawaida au nimerogwa? usinkebehi maana JF ndo sehemu ya kupima intelligence ya mtu.
 
Mkuu pole sana, kulingana na maelezo yako inaonekana physically huna tatizo lolote ila psychologically unakuwa so much exited, na hofi ya kuwaza Kama utaperform the game so hayo huchangia, hebu relax and let things happen hapo na amekueleza next time ikishindikana atakuacha napata hofu ndo utashindwa kabisa. Please relax and hata mkiwa nae

Ndugu wana JF natanguliza shukrani kubwa sana kwa jukwaa hili........ takribani kila siku kumekuwa na Thread humu jukwaani za matatizo ya nguvu za kiume, japo zinakuja katika picha tofauti, nami nnakuja hapohapo..... Tatizo langu nimekuwa nnapata wakati mgumu kusimamisha wakati wa mechi. picha yenyewe inakuwa hivi... Ninapo panga appotment na bibie inshu inakuwa imesimama sana, mpaka bibie anapokuja geto bado inshu inakuwa imesimama ikiomba kitu, lakini tatizo ni pale nnapoanza kumuandaa bibie inshu inagoma na inalala dolo,najitahidi kupunguza mawazo,stress na kumpa manzi kila aina ya maandalizi, nagusa huku na huko kwa manzi ili kumweka katika hali nzuri na kuipa nafasi inshu isimame yenyewe lakini inashindikana na nakomea kuiangalia inshu tu. na gemu linakuwa mwisho hapo. kinachonishangaza tukiachana na bibie na akinipigia simu kuwa ashafika nyumbani inshu inasimama tena kuomba mambo. hii imetokea mara nne, na imefikia kipindi manzi amechoka na ameahidi ikitokea tena yeye na mimi basi maana amenivumilia sana na mimi jinsi nnavyompenda nahic ndo itakuwa mwisho wangu kwenye ulingo wa mapenzi na itanisaidia kupunguza kujiaibisha mbele za watu. Nsaidieni nifanye nini? ni tatizo la kawaida au nimerogwa? usinkebehi maana JF ndo sehemu ya kupima intelligence ya mtu.
 
nahisi ni mara yako yakwanza kuanza hayo mambo mdomoni unaongea sana,vitendo vinakushinda siku moja mchukue ushinde naye chumbani kula kunywa humohumo mkiwa katika mavazi ya usiku ukiweza hata kijiwicky kidogo na ule ushibe jongoo litapanda huo mtungi.
 
hii ni more psychological zaidi ya tatizo
Tulia na usiwaze sana na nafikiri unakuwa so exicited wakati unamuandaa mwanamke wako
 
Pole sana dogo.

Lakini tuliza pupa unapokuwa na dem. Tatizo lako ni kule kujishughulisha kwa mkono ndiyo kunakupiga vita. Acha kwa wiki sita halafu jaribu kuji upgrade from your hand to a dame. :A S embarassed:
 
Yape likizo hayo mapunyeto yako alafu anza vi mazoezi utaniambia siku nyingine ukirudi alafu epuka kutumia gheto lenye joto kali maana joto linawaabisha sana wapiga punyeto.
 
Ndugu wana JF natanguliza shukrani kubwa sana kwa jukwaa hili........ takribani kila siku kumekuwa na Thread humu jukwaani za matatizo ya nguvu za kiume, japo zinakuja katika picha tofauti, nami nnakuja hapohapo..... Tatizo langu nimekuwa nnapata wakati mgumu kusimamisha wakati wa mechi. picha yenyewe inakuwa hivi... Ninapo panga appotment na bibie inshu inakuwa imesimama sana, mpaka bibie anapokuja geto bado inshu inakuwa imesimama ikiomba kitu, lakini tatizo ni pale nnapoanza kumuandaa bibie inshu inagoma na inalala dolo,najitahidi kupunguza mawazo,stress na kumpa manzi kila aina ya maandalizi, nagusa huku na huko kwa manzi ili kumweka katika hali nzuri na kuipa nafasi inshu isimame yenyewe lakini inashindikana na nakomea kuiangalia inshu tu. na gemu linakuwa mwisho hapo. kinachonishangaza tukiachana na bibie na akinipigia simu kuwa ashafika nyumbani inshu inasimama tena kuomba mambo. hii imetokea mara nne, na imefikia kipindi manzi amechoka na ameahidi ikitokea tena yeye na mimi basi maana amenivumilia sana na mimi jinsi nnavyompenda nahic ndo itakuwa mwisho wangu kwenye ulingo wa mapenzi na itanisaidia kupunguza kujiaibisha mbele za watu. Nsaidieni nifanye nini? ni tatizo la kawaida au nimerogwa? usinkebehi maana JF ndo sehemu ya kupima intelligence ya mtu.

Jaribu bibie mwingine uone kama itakuwa hivyo...
 
Utakuwa umerogwa, sio bure! Unakumbuka ulimuacha yule demu kwa nyodo nyingi na yeye ameamua kukukomesha, mtafute profesa majimarefu yule mbuge nadhani atakusaidia
 
nilikuwa na tatizo kama lako sema nw npo fit..watoto wananikubal c kiseche..fanya ivi kama ulikuwa unapiga nyeto wacha iyo tabia, kama ulikuwa na tabia ya kuchek picha za x acha hiyo k2..,piga sana mazoezi na ucmpanie demu ona kama starehe nyngne tuu
 
anza mazoezi haraka,punguza usongo uliochanganyika na wasiwasi wa kuperform........otherwise jaribu demu mwingine,bongo hii usije kuta huyo demu ana jamaa keshampiga kamzizi!!!!!
 
Utakuwa umerogwa, sio bure! Unakumbuka ulimuacha yule demu kwa nyodo nyingi na yeye ameamua kukukomesha, mtafute profesa majimarefu yule mbuge nadhani atakusaidia

Teh teh teh teh.
Kumbe mwajuana vilivyo eeh?
 
anza mazoezi haraka,punguza usongo uliochanganyika na wasiwasi wa kuperform........otherwise jaribu demu mwingine,bongo hii usije kuta huyo demu ana jamaa keshampiga kamzizi!!!!!

Je hukuwahi kuwa na demu mwingine kabla ya huyu wa sasa?
 
Pole yako mkuu,hebujiulize maswali je hapo awali uliwahi kua na msichana mwinginena hali hii ilijitokeza? na haikuwahi kujitokezaje je huyo binti yako wa awali uliachana nae katika mazingira gani?pia jaribu kumuuliza huyu mwenzi wako nae akupe historia ya kimahusiano then tunaweza kujadili mengine
 
Ndugu wana JF natanguliza shukrani kubwa sana kwa jukwaa hili........ takribani kila siku kumekuwa na Thread humu jukwaani za matatizo ya nguvu za kiume, japo zinakuja katika picha tofauti, nami nnakuja hapohapo..... Tatizo langu nimekuwa nnapata wakati mgumu kusimamisha wakati wa mechi. picha yenyewe inakuwa hivi... Ninapo panga appotment na bibie inshu inakuwa imesimama sana, mpaka bibie anapokuja geto bado inshu inakuwa imesimama ikiomba kitu, lakini tatizo ni pale nnapoanza kumuandaa bibie inshu inagoma na inalala dolo,najitahidi kupunguza mawazo,stress na kumpa manzi kila aina ya maandalizi, nagusa huku na huko kwa manzi ili kumweka katika hali nzuri na kuipa nafasi inshu isimame yenyewe lakini inashindikana na nakomea kuiangalia inshu tu. na gemu linakuwa mwisho hapo. kinachonishangaza tukiachana na bibie na akinipigia simu kuwa ashafika nyumbani inshu inasimama tena kuomba mambo. hii imetokea mara nne, na imefikia kipindi manzi amechoka na ameahidi ikitokea tena yeye na mimi basi maana amenivumilia sana na mimi jinsi nnavyompenda nahic ndo itakuwa mwisho wangu kwenye ulingo wa mapenzi na itanisaidia kupunguza kujiaibisha mbele za watu. Nsaidieni nifanye nini? ni tatizo la kawaida au nimerogwa? usinkebehi maana JF ndo sehemu ya kupima intelligence ya mtu.

Soma kwa makini,hili tatizo huwa linakuja kama ulikuwa na tabia ya kufanya masturbation mara kwa mara kinachotokea ni kuwa unapokuwa na mtu wako ndani unapata aina flani ya ka-uwoga kitu kinachokusababishia upoteze muelekeo,pili kama sio mtu wa mademu sana hako ka-uwoga huwa kanakuwepo unapokutana na mwanamke vitu hivyo hutokea na unakosa kujiamini na hasa inapokuja kuwa unatakiwa uvae buti ndio inakuwa mbaya zaidi.USHAURI,kama unapiga pombe piga chupa yako moja au mbili wakati unajiandaa na mechi,kama sio mnywaji muone daktari atakupatia dawa ambazo zinaongeza msisimko na hamu ya tendo la ndoa ukitumia mara 2-3,acha halafu uone tatizo lako litakuwa limekwisha,huwa ni kisaikolojia zaidi,jaribu halafu utaniambia matokeo.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom