Ndugu wana JF natanguliza shukrani kubwa sana kwa jukwaa hili........ takribani kila siku kumekuwa na Thread humu jukwaani za matatizo ya nguvu za kiume, japo zinakuja katika picha tofauti, nami nnakuja hapohapo..... Tatizo langu nimekuwa nnapata wakati mgumu kusimamisha wakati wa mechi. picha yenyewe inakuwa hivi... Ninapo panga appotment na bibie inshu inakuwa imesimama sana, mpaka bibie anapokuja geto bado inshu inakuwa imesimama ikiomba kitu, lakini tatizo ni pale nnapoanza kumuandaa bibie inshu inagoma na inalala dolo,najitahidi kupunguza mawazo,stress na kumpa manzi kila aina ya maandalizi, nagusa huku na huko kwa manzi ili kumweka katika hali nzuri na kuipa nafasi inshu isimame yenyewe lakini inashindikana na nakomea kuiangalia inshu tu. na gemu linakuwa mwisho hapo. kinachonishangaza tukiachana na bibie na akinipigia simu kuwa ashafika nyumbani inshu inasimama tena kuomba mambo. hii imetokea mara nne, na imefikia kipindi manzi amechoka na ameahidi ikitokea tena yeye na mimi basi maana amenivumilia sana na mimi jinsi nnavyompenda nahic ndo itakuwa mwisho wangu kwenye ulingo wa mapenzi na itanisaidia kupunguza kujiaibisha mbele za watu. Nsaidieni nifanye nini? ni tatizo la kawaida au nimerogwa? usinkebehi maana JF ndo sehemu ya kupima intelligence ya mtu.