masopakyindi
Platinum Member
- Jul 5, 2011
- 17,854
- 13,139
Na Florence Majani, Dodoma
Mbunge wa Mfenesini, Nasib Seleman Omar ameitaka serikali kubadili mfumo wa malipo ya wabunge wanapomaliza muda wao na kuweka utaratibu wa kuwalipa pensheni badala ya kuwalipa malipo ya mkupuo.
Omar alisema mabadiliko hayo yatawezesha wabunge kumudu maisha baada ya kumaliza muda wa utumishi wao kutokana na wengi kuishi maisha ya taabu baada ya kustaafu.
Source: Mwananchi, Juni 28, Kutoka Bungeni
Samahani Mbunge Mzanzibari, hii ni kero ya muungano, hukulazimishwa kuja Bungeni.
Na hizo fedha zitatoka sehemu gani ya muungano, ni vema ukaidai kule serikalini kwako for good measure.
At any rate, ukiwa mwanasiasa hiyo si Kazi, ni muundo wa maisha wa kujitolea kutumika na kutumikia wananchi.
Haya mwazao ya Mh. Omar ndiyo dalili ya watu kuingia Bungeni ili wawe mzigo na kujenga utegemezi badala ya kujituma, siasa si ajira.
Halafu mwanasiasa anastaafu vipi kama si kutemwa na wananchi wake wenyewe?
Mbunge wa Mfenesini, Nasib Seleman Omar ameitaka serikali kubadili mfumo wa malipo ya wabunge wanapomaliza muda wao na kuweka utaratibu wa kuwalipa pensheni badala ya kuwalipa malipo ya mkupuo.
Omar alisema mabadiliko hayo yatawezesha wabunge kumudu maisha baada ya kumaliza muda wa utumishi wao kutokana na wengi kuishi maisha ya taabu baada ya kustaafu.
Source: Mwananchi, Juni 28, Kutoka Bungeni
Samahani Mbunge Mzanzibari, hii ni kero ya muungano, hukulazimishwa kuja Bungeni.
Na hizo fedha zitatoka sehemu gani ya muungano, ni vema ukaidai kule serikalini kwako for good measure.
At any rate, ukiwa mwanasiasa hiyo si Kazi, ni muundo wa maisha wa kujitolea kutumika na kutumikia wananchi.
Haya mwazao ya Mh. Omar ndiyo dalili ya watu kuingia Bungeni ili wawe mzigo na kujenga utegemezi badala ya kujituma, siasa si ajira.
Halafu mwanasiasa anastaafu vipi kama si kutemwa na wananchi wake wenyewe?