Ya Mulugo: Was Only a Slip of Tongue! [Aliteleza Ulimi tuu]

Mashambulizi ya wadau katika jamii kwa kushindwa kutumia lugha ngeni ya Kiingereza ndio sababu inayofanya Watanzania wengi washindwe kujifunza hio lugha kwa ufasaha kwa woga wa kuchekwa, kebehiwa na hata kusanifiwa ukikosea (mara nyingi hata wakosoaji unakuta pia lugha hawaielewi ila tu bado amcheka mwenzie). Ile sio lugha yake na wala hata makosa katika kukosea... Na ilibidi tu aweke wazi kuwa hio lugha inampiga chenga sababu makosa ni mengi kafanya katika hotuba yake yote.

Hata hivyo hii slip of the tongue ni acceptable kabisa, kosa kubwa lipo kuwa anawakilisha entity ambayo Kimssingi, hairuhusiwi na ni kosa kubwa kutoelewa lugha ya Kiingereza hasa ukizingatia ndio lugha kuu ya maofisini ukiacha Kiswahili. Naamini kwenye 'vipengele husika' vya sifa ya mtu wa ku cover hio nafasi LAZIMA kuna kipengele kinasema mtu awe fluent in English. Sasa sababu serkali yetu inatowa kazi kwa vigezo vya kujuana, connections na upendeleo ndio madhara yake haya...

Katika aibu kwenye conference, katia aibu serkali yake then akatutia aibu na sisi hali tuna watu ni wanastahili hata wangeenda pale wangewakilisha vilivyo.

Da AshaDii,
Heshima yako kwanza kabla sijachangia. Nakuunga mkono kabisa kuwa wziri huyu asilaumiwe sana kwenye lugha. Ila pia nadhani tukiangalia maelekezi ya criticism tutaona kuwa kinachozungumzwa kwenye hili sakata, kimsingi siyo umahiri wa lugha.Tunaangalia kwa mapana dhana ya kuwakilishwa na kiongozi wa level ya juu kama Waziri kwenye international conferences. Kuna makosa ya kawaida ya slip of the tongue na haya hayakwepeki huwa yapo lakini mtelezaji hutarajiwa mara moja kujisahihisha.Kuchanganya Zimbabwe ba Zanzibar siyo kiingereza bali ni kosa dogo but with far reaching implications.Kuchanganya tarakimu kwenye mwaka nalo siyo kosa la lugha.

Binafsi nimeweza kuona kuwa kuna makundi mawili ya critics kwenye hii ishu.Kuna watu wanaolalamikia maswala ya kimsingi na pia kuna kundi linalojadili umahiri wa lugha. Kwenye lugha nako kuna vitu vya msingi ambavyo kiongozi wa level ya juu kabisa ya uongozi hatarajiwi kuyafanya.Kwenye mikutano ya kimataifa tunarajia " HIGH QUALITY PARTICIPATION( CONTENT WISE) NA HIGH LEVEL OF REPRESENTATION ( BOTH CONTENT AND TRIMMINGS SUCH AS GOOD COMMAND OF LANGUAGE, PRESENTATION SKILLS, PERSONAL APPEARANCE ETC).Hatupaswi kujali sana swagga na kutema yai kwa maana ya lafudhi kwa maana kwenye hadhira za kimataifa utakutana na lafudhi zote - za kihindi, za kiarabu, za kinaijeria, za kikenya,Kisenegali, kihabeshi, za kiganda, kispaniola, kiitaliano nk).Waziri huyu kwa kweli atuombe radhi watanzania kwa kutokutuwakilisha kwa ufanisi na siku nyingine asing'ang'anie kupanda ndege kabla ya maandalizi.
 

. Hivyo hilo neno Zimbabwe, was a sleep of a tongue tuu yaani aliteleza ulimi ni kosa la kawaida la kibinaadamu!.

Kufuatia kosa hilo dogo tuu, kitendo cha Clouds Redio kumkomalia hana nzima sio cha kistaarabu na sio kumtendea haki!.

Tumhukumu mtu kwa utendaji wake na sio kwa "Sleep of a tongue"!.
Pasco.

Pascoooooooo......
 
Wanabodi,

Kumekuwepo kwa thread mbali mbali za kumshutumu, kumbeza hadi kumkebehi Naibu Waziri wa Elimu Mhe. Phillip Mulugo kwa kauli yake ya Tanzania ni muungano wa Zimbabwe na Pemba!.

Naomba kujitokeza kumtetea huyu jamaa "It was only a slip of a tongue!. Yaani aliteleza tuu ulimi!.

Ukiangalia ile video kwenye U-Tube utaona ni PPT Presentation kupitia Over Head Projector kila neno alilotamka pia limeandikwa na kuonyeshwa na ile projector screen.

Japo ni kweli aliitamka neno Zimbabwe lakini screen ya projector ilionyesha neno Zanzibar!. Hivyo hilo neno Zimbabwe, was a sleep of a tongue tuu yaani aliteleza ulimi ni kosa la kawaida la kibinaadamu!.

Kufuatia kosa hilo dogo tuu, kitendo cha Clouds Redio kumkomalia hana nzima sio cha kistaarabu na sio kumtendea haki!.

Watu sasa wameanza hata kuhoji elimu yake!. Watanzania sasa tumekuwa wagonjwa wa "paper qualifications" watu humu sasa wanamkomalia kuhusu elimu yake!. I doesn't matter jamaa ni jembe kweli!. Nimemshuhudia akipiga mzigo wa kufa mtu!. Akifanya ziara za kikazi popote, hufanya 'surprize visit" kwenye mashule au vyuo na kuibua madudu!.

Tumhukumu mtu kwa utendaji wake na sio kwa "Sleep of a tongue"!.


Pasco huwa nakuheshimu sana, ila katika hili nimeamini wewe ni mnafiki mkubwa na mchumia tumbo. Nimesikiliza CLOUDS FM wakimhoji katika kipindi chao cha BREAKFAST. Mulugo kajitetea kwamba ilikuwa "sleep of tongue", idiom hii umeiandika hapa JF.

Ninachokiona hapa ni mawasiliano ya moja kwa moja kati yako na Mulugo, au atakuwa kaingia humu JF na kusoma thread yako.

Sisi wanafunzi wake tunamfahamu sana Mulugo alipokuwa mwalimu wetu, tulikuwa tukiigiza broken zake darasani na hata pronuncition yake huwa ni mgogoro. Acha kutetea upuuzi usiokuwa na mantiki, heshima yako inashuka mkuu.
 
kama kweli It was only a slip of a tongue kwa nini hajui awards ambazo zinatolewa Tanzania fuatilia hiyo ppt yake then utakuta VETA wanatoa NTA level 1-3 its ok then NACTE wanatoa NTA level 4 to 8 then anasema NTA level 9 to 12 wanatoa Higher National Diploma kweli hiyo ipo? mwambie NTA level 9 to 12 its post graduate na hao NACTE & VETA its just a tool to monitor and control those awards under government and non government Institution and universities
 
Kuna tangazo moja radioni mdada anasema "una-rerax".

Anyway mi mwenyewe nilijiuliza sana huenda ni mchecheto tu wa mshikaji baada na kuona hadhira ile, na pengine ndo ilikua mara yake ya kwanza kuhutubia kwa ngeli na projector.


Mbona hata Obama alichemka siku ya kuapishwa kwake na haikua big deal?
 
Mashambulizi ya wadau katika jamii kwa kushindwa kutumia lugha ngeni ya Kiingereza ndio sababu inayofanya Watanzania wengi washindwe kujifunza hio lugha kwa ufasaha kwa woga wa kuchekwa, kebehiwa na hata kusanifiwa ukikosea (mara nyingi hata wakosoaji unakuta pia lugha hawaielewi ila tu bado amcheka mwenzie). Ile sio lugha yake na wala hata makosa katika kukosea... Na ilibidi tu aweke wazi kuwa hio lugha inampiga chenga sababu makosa ni mengi kafanya katika hotuba yake yote.

Hata hivyo hii slip of the tongue ni acceptable kabisa, kosa kubwa lipo kuwa anawakilisha entity ambayo Kimssingi, hairuhusiwi na ni kosa kubwa kutoelewa lugha ya Kiingereza hasa ukizingatia ndio lugha kuu ya maofisini ukiacha Kiswahili. Naamini kwenye 'vipengele husika' vya sifa ya mtu wa ku cover hio nafasi LAZIMA kuna kipengele kinasema mtu awe fluent in English.Sasa sababu serkali yetu inatowa kazi kwa vigezo vya kujuana, connections na upendeleo ndio madhara yake haya...

Katika aibu kwenye conference, katia aibu serkali yake then akatutia aibu na sisi hali tuna watu ni wanastahili hata wangeenda pale wangewakilisha vilivyo.

Kumbe na wewe unadanganyaga ,kama hujjadanganya basi inaelekea hujui vyema
1.Ofisi zipi unazozungumzia kuwa lugha kuu ya mawasiliano ni kingereza !!!!!
2.Ofisi hizo ambbazo lugha kuu ya mawasiliano ni kingereza kikifuatia kiswahili zinawahudumia wanajamii wapi(wanaozungumza na kuelewa lugha gani?)?
3.Sio kweli kuwa kigezo cha kuajiriwa serikali ni kujua kuongea kingereza fluent (Hapa unataka kutuaminisha kuwa kujua kuongea kingereza fluent ndio kipimo cha ufanisi).Fuatilia usahili unafanywa kwa lugha gani. Afisa Ushirika anayeenda kufanya kazi Muleba anaenda kuwasiliana kwa lugha gani na hao anaokwenda kuwahudumia mpaka kigezo kiwe kuongea kingereza fluent..

Suala la Mulungo kuchemka kwenye Conference ni matunda ya kutokujiami kwa viongozi wetu na sisi wenyewe watz kwa kuona Lugha yetu si kitu. Kuna baadhi ya mabalozi wa nchi za nje wapo hapa nchini wakitoa hutuba zao wanatoa kwa kiswahili na inapendeza sasa .Hawa viongozi umahiri na ujasiri wa kuongea /kuwasilisha mada kwa lugha wasizozijua wanautoa wapi?!!!!. Mkuu wa kaya JK alishachemka kwenye mkutano- DAVOS aliposema ¨Manufacturing of teachers¨
 
Pasco katumwa kumsafisha humu JF na wakati huo huo PJ nae katumwa kumsafisha kupitia Clauds Fm.
Njaa mbaya sana.
 
Habari wana jf
naomba mod hii kitu iacheni hivi
msiichangane na maada ya kosa lake

Ikiwa anaojiwa na pj wa cloud fm, wazir huyu amekili kosa kuwa alichanganyikiwa kwani alikuwa anatumia powerpoint na wazir aliyetoka baada ya yeye kuongea ni waziri wa elimu wa zimbabwe nakatika akili yake hakawa bado anafikila naye na then kusema ni kuteleza kwa ulimi tu

Kuhusu mwaka pia amekili ni kosa alivyosema 1~19 6 4 kwenye 19 alimaanisha 9 tu

Lakini sasa kaulizwa je jibu nilipi akasema tanzania ni muungano wa zanzibar, pemba na tanganyika ndio kosa lingine ili kwani ata class one anajibu zuri tu kuwa ni ZANZIBAR ( unguja na pemba) na TANGANYIKA

MY TAKE
Waziri jaribu kudeal sana na watanzania wenzako zaidi, mambo yanayohusu lugha ya nje, n.k muachie doctor K ayafanye

Bado tusubiri
~steven masele
~janeth mbena n.k

V
SENGEREMA
 
Mashambulizi ya wadau katika jamii kwa kushindwa kutumia lugha ngeni ya Kiingereza ndio sababu inayofanya Watanzania wengi washindwe kujifunza hio lugha kwa ufasaha kwa woga wa kuchekwa, kebehiwa na hata kusanifiwa ukikosea (mara nyingi hata wakosoaji unakuta pia lugha hawaielewi ila tu bado amcheka mwenzie). Ile sio lugha yake na wala hata makosa katika kukosea... Na ilibidi tu aweke wazi kuwa hio lugha inampiga chenga sababu makosa ni mengi kafanya katika hotuba yake yote.

Hata hivyo hii slip of the tongue ni acceptable kabisa, kosa kubwa lipo kuwa anawakilisha entity ambayo Kimssingi, hairuhusiwi na ni kosa kubwa kutoelewa lugha ya Kiingereza hasa ukizingatia ndio lugha kuu ya maofisini ukiacha Kiswahili. Naamini kwenye 'vipengele husika' vya sifa ya mtu wa ku cover hio nafasi LAZIMA kuna kipengele kinasema mtu awe fluent in English. Sasa sababu serkali yetu inatowa kazi kwa vigezo vya kujuana, connections na upendeleo ndio madhara yake haya...

Katika aibu kwenye conference, katia aibu serkali yake then akatutia aibu na sisi hali tuna watu ni wanastahili hata wangeenda pale wangewakilisha vilivyo.

Kwa nini aitumie??
 
Mashambulizi ya wadau katika jamii kwa kushindwa kutumia lugha ngeni ya Kiingereza ndio sababu inayofanya Watanzania wengi washindwe kujifunza hio lugha kwa ufasaha kwa woga wa kuchekwa, kebehiwa na hata kusanifiwa ukikosea (mara nyingi hata wakosoaji unakuta pia lugha hawaielewi ila tu bado amcheka mwenzie). Ile sio lugha yake na wala hata makosa katika kukosea... Na ilibidi tu aweke wazi kuwa hio lugha inampiga chenga sababu makosa ni mengi kafanya katika hotuba yake yote.

Hata hivyo hii slip of the tongue ni acceptable kabisa, kosa kubwa lipo kuwa anawakilisha entity ambayo Kimssingi, hairuhusiwi na ni kosa kubwa kutoelewa lugha ya Kiingereza hasa ukizingatia ndio lugha kuu ya maofisini ukiacha Kiswahili. Naamini kwenye 'vipengele husika' vya sifa ya mtu wa ku cover hio nafasi LAZIMA kuna kipengele kinasema mtu awe fluent in English. Sasa sababu serkali yetu inatowa kazi kwa vigezo vya kujuana, connections na upendeleo ndio madhara yake haya...

Katika aibu kwenye conference, katia aibu serkali yake then akatutia aibu na sisi hali tuna watu ni wanastahili hata wangeenda pale wangewakilisha vilivyo.

Naibu waziri wa elimu ni lazima awe ni mtu anayejimudu katika sekta ya elimu. Na lugha ya kiingereza ikiwa ni lugha rasmi ya kufundishia kuanzia shule za sekondari hadi vyuo vikuu, ikiwa ndio lugha rasmi ya mawasiliano ya serikali, naibu waziri analazimika kuifahamu vizuri, na katika hili sioni sababu ya kumtafutia visingizio vya kumsua na aibu hii aliyotuletea watanzania wote.

Tunapokubali watu dhaifu waendelee kutuongoza tusitarajie matokeo mazuri, wakati tunapolalamika kwamba elimu yetu inazidi kushuka kiwango cha ubora na somo la kiingereza likiwa ni mojawapo ya masomo ambayo watoto wetu wanafanya vibaya hatuna sababu ya kusema ulimi ulimteleza au namna nyingine ya kumtetea. Tukikubali huo utetezi rahisi rahisi tutakuwa tunakubali akili ndogo iongoze akili kubwa.

Mbona mawaziri wengine waliofanya presentation katika mkutano huo ndimi zao hazikuwateleza? na hapa usisahau kwamba cv yake imesomwa na kuletwa hapa JF mara nyingi na bila kumung'unya maneno Mulugo hakustahili hata kidogo kuwa naibu waziri katika wizara yoyote achilia mbali wizara nyeti kama ya elimu.

Mimi binafsi hata akijitetea kwa kiwango gani bado hawezi kunishawishi kwamba ulimi ulikuwa unateleza kila mara. Kwani huo ulimi wake una nini hadi uteleze tangu mwanzo hadi mwisho wa speech. Mimi mwenyewe si mzuri sana katika kuongea lugha ya kiingereza lakini kwenye kusoma hapo utanipenda tu. Akili ya kawaida tu inakusaidia kugundua baadhi ya makosa ya kiuchapaji kama kichwa chako wewe mwenyewe kiko vizuri, lakini kama ni mweupe hata yale yaliyoandikwa vizuri wewe utayasoma kwa kuyakosea.
 
Wanabodi,
Japo ni kweli aliitamka neno Zimbabwe lakini screen ya projector ilionyesha neno Zanzibar!. Hivyo hilo neno Zimbabwe, was a sleep of a tongue tuu yaani aliteleza ulimi ni kosa la kawaida la kibinaadamu!.

Kufuatia kosa hilo dogo tuu, kitendo cha Clouds Redio kumkomalia hana nzima sio cha kistaarabu na sio kumtendea haki!.
Pasco.

Mkuu Pasco, hongera kwa kujitokeza kumtetea Mhe. Waziri kwa kosa kubwa alilolifanya.
Nimesikia amejitetea pia huko Clouds FM, kama ulivyomtetea wewe humu ndani ya JF. Sijui mliwasiliana kabla, lakini si muhimu.

Ninachotaka kuongelea hapa ni kwamba kabla ya kumtetea Mhe. waziri kwamba alimaanisha Zanzibar badala yake akatamka Zimbabwe, kwako inaingia akilini kwamba Tz ni muungano wa Tanganyika na visiwa vya Pemba na Zanzibar kweli!!!??? Siyo Pemba na Unguja?
Au na wewe Jiografia ya Tz imeteleza pia?

Makosa aliyoyafanya katika presentation ile ni mengi mno yasiyokidhi utetezi uwao wote.
 
Back
Top Bottom