MWENDAKULIMA
JF-Expert Member
- Jul 17, 2009
- 952
- 354
Vipi na ile one nineteen sixty four? Na yenyewe ni kuteleza kwa ulimi?
You have stolen my thunder mkuu NN,nimeshapost and I came to learn you had already done so. Apologies for "plagiarism"
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Vipi na ile one nineteen sixty four? Na yenyewe ni kuteleza kwa ulimi?
ulimi wake una utelezi sana aisee
hadi leo kasema tena pemba, zanzibar na tanzania bara
Kumekuwepo
I doesn't matter
Pasco,
Kabla hatujakusaidia kubadili title, nawe 'umetelaza'
Naona naye kajitetea kuwa aliteleza tu.
Vipi na ile one nineteen sixty four? Na yenyewe ni kuteleza kwa ulimi?
Wanabodi,
Kumekuwepo kwa thread mbali mbali za kumshutumu, kumbeza hadi kumkebehi Naibu Waziri wa Elimu Mhe. Phillip Mulugo kwa kauli yake ya Tanzania ni muungano wa Zimbabwe na Pemba!.
Naomba kujitokeza kumtetea huyu jamaa "It was only a slip of a tongue!. Yaani aliteleza tuu ulimi!.
Ukiangalia ile video kwenye U-Tube utaona ni PPT Presentation kupitia Over Head Projector kila neno alilotamka pia limeandikwa na kuonyeshwa na ile projector screen.
Japo ni kweli aliitamka neno Zimbabwe lakini screen ya projector ilionyesha neno Zanzibar!. Hivyo hilo neno Zimbabwe, was a sleep of a tongue tuu yaani aliteleza ulimi ni kosa la kawaida la kibinaadamu!.
Kufuatia kosa hilo dogo tuu, kitendo cha Clouds Redio kumkomalia hana nzima sio cha kistaarabu na sio kumtendea haki!.
Watu sasa wameanza hata kuhoji elimu yake!. Watanzania sasa tumekuwa wagonjwa wa "paper qualifications" watu humu sasa wanamkomalia kuhusu elimu yake!. I doesn't matter jamaa ni jembe kweli!. Nimemshuhudia akipiga mzigo wa kufa mtu!. Akifanya ziara za kikazi popote, hufanya 'surprize visit" kwenye mashule au vyuo na kuibua madudu!.
Tumhukumu mtu kwa utendaji wake na sio kwa "Sleep of a tongue"!.
Pasco.
Nadhani hii nayo ni "slip of a keyboard" lol. Na issue ya 11964(one nineteen sixty four) mbona haujaizungumzia Pasco?
Kwa kweli sioni ni vipi mtu anaweza kutetea hii kitu. Kuna ujumbe tu Pasco ameamua kutushushia kwa njia yake. Slipping from Zanzibar to Zimbabwe? That's too distant!Mi hata ukiniamsha usingizini siwezi kuchanganya Zanzibar na Zimbabwe. Labda kama ningekuwa sijasoma.
HUYU "MWALIMU MZOEFU" wa somo la historia kama alivyojiita mwenyewe hajateleza ulimi wala nini.
Kakubali kuwa hana umahiri wa kutumia PPT... kwanini basi alikubali kwenda kufanya presentation kwenye hadhira ya kimataifa huku akijua ni maamuma kwenye hilo eneo? Uzoefu wake kama mwalimu hatujauona popote kwenye ile presentation na hata hapa radioni kwenye kujitetea.
AKUBALI YAISHE KUWA HANA SIFA ZA KUWA WAZIRI WIZARA YA ELIMU BAAAS!
Hili ni fundisho kuwa MAWAZIRI WANATAKIWA AMA KUWA MAHIRI SANA KWENYE MAMBO MENGI, AU BASI WABAKIE KUPIGIA DEBE TU SERA ZA CHAMA BILA KUINGILIA MAMBO YA TAALUMA ZENYE WENYEWE.
Vipi kuhusu NACTE kutoa PhD nayo ni utelezi wa ulimi?
Pasco said:Naomba kujitokeza kumtetea huyu
jamaa "It was only a slip of a
tongue!. Yaani aliteleza tuu ulimi!.
Japo ni kweli aliitamka neno
Zimbabwe lakini screen ya projector ilionyesha neno Zanzibar!. Hivyo hilo
neno Zimbabwe, was a sleep of a
tongue tuu yaani aliteleza ulimi ni
kosa la kawaida la kibinaadamu!... I
doesn't matter.
Tumhukumu mtu kwa utendaji wake
na sio kwa Sleep of a tongue"!.
Mashambulizi ya wadau katika jamii kwa kushindwa kutumia lugha ngeni ya Kiingereza ndio sababu inayofanya Watanzania wengi washindwe kujifunza hio lugha kwa ufasaha kwa woga wa kuchekwa, kebehiwa na hata kusanifiwa ukikosea (mara nyingi hata wakosoaji unakuta pia lugha hawaielewi ila tu bado amcheka mwenzie). Ile sio lugha yake na wala hata makosa katika kukosea... Na ilibidi tu aweke wazi kuwa hio lugha inampiga chenga sababu makosa ni mengi kafanya katika hotuba yake yote.
Hata hivyo hii slip of the tongue ni acceptable kabisa, kosa kubwa lipo kuwa anawakilisha entity ambayo Kimssingi, hairuhusiwi na ni kosa kubwa kutoelewa lugha ya Kiingereza hasa ukizingatia ndio lugha kuu ya maofisini ukiacha Kiswahili. Naamini kwenye 'vipengele husika' vya sifa ya mtu wa ku cover hio nafasi LAZIMA kuna kipengele kinasema mtu awe fluent in English. Sasa sababu serkali yetu inatowa kazi kwa vigezo vya kujuana, connections na upendeleo ndio madhara yake haya...
Katika aibu kwenye conference, katia aibu serkali yake then akatutia aibu na sisi hali tuna watu ni wanastahili hata wangeenda pale wangewakilisha vilivyo.
ulimi wake una utelezi sana aisee
hadi leo kasema tena pemba, zanzibar na tanzania bara