chokambayaa
JF-Expert Member
- Nov 1, 2010
- 543
- 69
Mbona mi sioni tatizo hapo
kwani mtu ukiwa huna mme/mke huruhusiwi kuhubiri?
Kwa mtazamo wangu uhubiri hauangalii hayo
mbona mapadri hawana wake na wanashauri mambo ya ndoa!?
kwani mtu ukiwa huna mme/mke huruhusiwi kuhubiri?
Kwa mtazamo wangu uhubiri hauangalii hayo
mbona mapadri hawana wake na wanashauri mambo ya ndoa!?