AmaniKatoshi
Senior Member
- Mar 31, 2009
- 158
- 14
Wajameni, salamu kwenu. Ni imani yangu kuwa wote tumeamka salama.
Kuna tetesi kuwa jana kulizuka ugomvi kati ya mkuu wa wilaya ya ngara vs mwandishi wa ITV hali iliyosababisha wananchi kuondoka kikaoni baada ya wananchi kuomba mwandishi wa ITV asitolewe nje na OCD kama agizo la mkuu wa wilaya. Lakini mkuu huyo alikataa na kuwaambia wanaomtaka mwandishi waondoke nae na wengine wabaki!
Mamaa weeeee, watu wote wakaamka na kuondoka kikao kikafikia mwisho kwa style ya ngumi za tyson ....knok-out!
Wenye habari watuhabarishe!
Source: Itv news jana usiku 20:00EAT
Kuna tetesi kuwa jana kulizuka ugomvi kati ya mkuu wa wilaya ya ngara vs mwandishi wa ITV hali iliyosababisha wananchi kuondoka kikaoni baada ya wananchi kuomba mwandishi wa ITV asitolewe nje na OCD kama agizo la mkuu wa wilaya. Lakini mkuu huyo alikataa na kuwaambia wanaomtaka mwandishi waondoke nae na wengine wabaki!
Mamaa weeeee, watu wote wakaamka na kuondoka kikao kikafikia mwisho kwa style ya ngumi za tyson ....knok-out!
Wenye habari watuhabarishe!
Source: Itv news jana usiku 20:00EAT