Bilionea Asigwa
JF-Expert Member
- Sep 21, 2011
- 16,510
- 28,416
Mbinu ambazo CCM imekua ikitumia katika siasa zake zimekua zikibadilika sana, Mbinu kama UENEZAJI WA PROPAGANDA dhidi ya upinzani(kama ya CUF na UDINI au CHADEMA na UKANDA au NCCR ya MREMA na UMAMLUKI), zimefanikiwa kwa muda lakini sasa zinaonekana kuanza ku fail hasa kutokana na mwamko wa wananchi katika kufuatilia siasa au labda uwezekano wa wananchi kutaka tu mabadiliko..
Mbinu nyingine ilikua ni kuwavua ubunge wabunge wa upinzani walioonekana wana mvuto sana katika maeneo yao kwa kutumia mahakama.. mfano ya LEMA, walicho kuwa wamepanga kwa LISU na hata kwa MNYIKA.. Mbinu hii ilionekana ni nzuri sana kwao lakini HASARA NI KUBWA KULIKO FAIDA...Uwepo wa mtu kama LEMA nje ya bunge umeonekana kukipa nguvu sana CHADEMA mikoa ya ARUSHA, MANYARA, KILIMANJARO na mikoa ya KANDA YA ZIWA karibu yoote na kuifanya kugeuka ngome ya upinzani
Kama wangefanikiwa kuwanyofoa LISU na MNYIKA bungeni basi mikoa ya KANDA YA KATI, MIKOA YA PWANI ingekumbwa na kimbunga kama cha kule kwa LEMA na ingegeuka kuwa ngome ya upinzani vile vile...kama mnavyojua mikoa kama SINGIDA, DODOMA, PWANI , DAR ES SALAAM na mingine bado ina WANAZI wengi walioikumbatia ccm wengi wao wakiwa ni kwa sababu ya upofu wao tu, siku wakifumbuliwa macho wanaweza kukitosa CCM forever kama kilivyotoswa KWA LEMA...
MY OPINION
Njia aliyoionesha LEMA, SUGU na MCH MSIGWA kwa kujikita katika maeneo walikotoka inafaa sana kutumiwa na MNYIKA , LISU na KABWE katika kuibomoa CCM katika mikoa ya kati,pwani na baadhi ya MIKOA YA MAGHARIBI ambako bado CCM inapumulia PUA MOJA...Staili hii ni nzuri hasa ukizingatia kuwa MAJEMBE haya yana mvuto sana katika maeneo hayo, na karibu woote bado ni vijana sana wanaweza kushuka mpaka vijijini kule ndani kabisa bila bugdha za umri...
NI MAWAZO YANGU TUU
Mbinu nyingine ilikua ni kuwavua ubunge wabunge wa upinzani walioonekana wana mvuto sana katika maeneo yao kwa kutumia mahakama.. mfano ya LEMA, walicho kuwa wamepanga kwa LISU na hata kwa MNYIKA.. Mbinu hii ilionekana ni nzuri sana kwao lakini HASARA NI KUBWA KULIKO FAIDA...Uwepo wa mtu kama LEMA nje ya bunge umeonekana kukipa nguvu sana CHADEMA mikoa ya ARUSHA, MANYARA, KILIMANJARO na mikoa ya KANDA YA ZIWA karibu yoote na kuifanya kugeuka ngome ya upinzani
Kama wangefanikiwa kuwanyofoa LISU na MNYIKA bungeni basi mikoa ya KANDA YA KATI, MIKOA YA PWANI ingekumbwa na kimbunga kama cha kule kwa LEMA na ingegeuka kuwa ngome ya upinzani vile vile...kama mnavyojua mikoa kama SINGIDA, DODOMA, PWANI , DAR ES SALAAM na mingine bado ina WANAZI wengi walioikumbatia ccm wengi wao wakiwa ni kwa sababu ya upofu wao tu, siku wakifumbuliwa macho wanaweza kukitosa CCM forever kama kilivyotoswa KWA LEMA...
MY OPINION
Njia aliyoionesha LEMA, SUGU na MCH MSIGWA kwa kujikita katika maeneo walikotoka inafaa sana kutumiwa na MNYIKA , LISU na KABWE katika kuibomoa CCM katika mikoa ya kati,pwani na baadhi ya MIKOA YA MAGHARIBI ambako bado CCM inapumulia PUA MOJA...Staili hii ni nzuri hasa ukizingatia kuwa MAJEMBE haya yana mvuto sana katika maeneo hayo, na karibu woote bado ni vijana sana wanaweza kushuka mpaka vijijini kule ndani kabisa bila bugdha za umri...
NI MAWAZO YANGU TUU