Ya lema & mnyika na siasa zetu

Bilionea Asigwa

JF-Expert Member
Sep 21, 2011
16,510
28,416
Mbinu ambazo CCM imekua ikitumia katika siasa zake zimekua zikibadilika sana, Mbinu kama UENEZAJI WA PROPAGANDA dhidi ya upinzani(kama ya CUF na UDINI au CHADEMA na UKANDA au NCCR ya MREMA na UMAMLUKI), zimefanikiwa kwa muda lakini sasa zinaonekana kuanza ku fail hasa kutokana na mwamko wa wananchi katika kufuatilia siasa au labda uwezekano wa wananchi kutaka tu mabadiliko..

Mbinu nyingine ilikua ni kuwavua ubunge wabunge wa upinzani walioonekana wana mvuto sana katika maeneo yao kwa kutumia mahakama.. mfano ya LEMA, walicho kuwa wamepanga kwa LISU na hata kwa MNYIKA.. Mbinu hii ilionekana ni nzuri sana kwao lakini HASARA NI KUBWA KULIKO FAIDA...Uwepo wa mtu kama LEMA nje ya bunge umeonekana kukipa nguvu sana CHADEMA mikoa ya ARUSHA, MANYARA, KILIMANJARO na mikoa ya KANDA YA ZIWA karibu yoote na kuifanya kugeuka ngome ya upinzani

Kama wangefanikiwa kuwanyofoa LISU na MNYIKA bungeni basi mikoa ya KANDA YA KATI, MIKOA YA PWANI ingekumbwa na kimbunga kama cha kule kwa LEMA na ingegeuka kuwa ngome ya upinzani vile vile...kama mnavyojua mikoa kama SINGIDA, DODOMA, PWANI , DAR ES SALAAM na mingine bado ina WANAZI wengi walioikumbatia ccm wengi wao wakiwa ni kwa sababu ya upofu wao tu, siku wakifumbuliwa macho wanaweza kukitosa CCM forever kama kilivyotoswa KWA LEMA...

MY OPINION
Njia aliyoionesha LEMA, SUGU na MCH MSIGWA kwa kujikita katika maeneo walikotoka inafaa sana kutumiwa na MNYIKA , LISU na KABWE katika kuibomoa CCM katika mikoa ya kati,pwani na baadhi ya MIKOA YA MAGHARIBI ambako bado CCM inapumulia PUA MOJA...Staili hii ni nzuri hasa ukizingatia kuwa MAJEMBE haya yana mvuto sana katika maeneo hayo, na karibu woote bado ni vijana sana wanaweza kushuka mpaka vijijini kule ndani kabisa bila bugdha za umri...

NI MAWAZO YANGU TUU
 
Mkuu hao mabwana hazina yao imekauka ndiyo maana wamekubali yaishe lakini kama ingekuwa imetuna kama kipindi kile Ben kaiacha nchi wangepigwa chini ili kuwachanganya wananchi na wenyewe wabunge.

Ukifikiri CCM wanahaya utakuwa umekosea sana, akili zao zinawatosha kuvuka reli tu ukimleta avuke barabara jua umemchanga na kumpa mtihani mkubwa sana!!!!
 
Ila kama wanauezekano wa kulipa gharama za kesi na bado gharama za uendeshaji wa kesi kma ya mnyika kwa serikali ni kama biliioni moja..huoni kuwa pesa kwao si tatizo,..ila tu mambo yako tyte upande wao wa kisiasa
 
Mkuu asigwa Baada ya mkutano wa leo kanda ya pwani ndio inaanza kuyoyoma kwenda upinzani CCM wataanza kupumulia machine muda si mrefu
YAP Ni kweli kama unachokisema maana najua nguvu kubwa zaidi inahitajika huku PWANI kuliko mikoa mingine maana unazi bado mwingi sana ukilinganisha na miko mingine
 
Mbinu ambazo CCM imekua ikitumia katika siasa zake zimekua zikibadilika sana, Mbinu kama UENEZAJI WA PROPAGANDA dhidi ya upinzani(kama ya CUF na UDINI au CHADEMA na UKANDA au NCCR ya MREMA na UMAMLUKI), zimefanikiwa kwa muda lakini sasa zinaonekana kuanza ku fail hasa kutokana na mwamko wa wananchi katika kufuatilia siasa au labda uwezekano wa wananchi kutaka tu mabadiliko..

Mbinu nyingine ilikua ni kuwavua ubunge wabunge wa upinzani walioonekana wana mvuto sana katika maeneo yao kwa kutumia mahakama.. mfano ya LEMA, walicho kuwa wamepanga kwa LISU na hata kwa MNYIKA.. Mbinu hii ilionekana ni nzuri sana kwao lakini HASARA NI KUBWA KULIKO FAIDA...Uwepo wa mtu kama LEMA nje ya bunge umeonekana kukipa nguvu sana CHADEMA mikoa ya ARUSHA, MANYARA, KILIMANJARO na mikoa ya KANDA YA ZIWA karibu yoote na kuifanya kugeuka ngome ya upinzani

Kama wangefanikiwa kuwanyofoa LISU na MNYIKA bungeni basi mikoa ya KANDA YA KATI, MIKOA YA PWANI ingekumbwa na kimbunga kama cha kule kwa LEMA na ingegeuka kuwa ngome ya upinzani vile vile...kama mnavyojua mikoa kama SINGIDA, DODOMA, PWANI , DAR ES SALAAM na mingine bado ina WANAZI wengi walioikumbatia ccm wengi wao wakiwa ni kwa sababu ya upofu wao tu, siku wakifumbuliwa macho wanaweza kukitosa CCM forever kama kilivyotoswa KWA LEMA...

MY OPINION
Njia aliyoionesha LEMA, SUGU na MCH MSIGWA kwa kujikita katika maeneo walikotoka inafaa sana kutumiwa na MNYIKA , LISU na KABWE katika kuibomoa CCM katika mikoa ya kati,pwani na baadhi ya MIKOA YA MAGHARIBI ambako bado CCM inapumulia PUA MOJA...Staili hii ni nzuri hasa ukizingatia kuwa MAJEMBE haya yana mvuto sana katika maeneo hayo, na karibu woote bado ni vijana sana wanaweza kushuka mpaka vijijini kule ndani kabisa bila bugdha za umri...

NI MAWAZO YANGU TUU

Unajenga gorofa hewani eeehh!!
fuatilia Mwanza Mjini ujue kinachoendelea leo.

"Chadema kinakufa kabla ya 2015"-Wasira
 
Back
Top Bottom