eliesikia
JF-Expert Member
- Oct 29, 2010
- 787
- 755
Huyu Kipara aka Kipara aka Kipara ndio aibu kubwa ya mwaka huu kwa UDSM...
Chuo hiki kinafahamika kwa mihemuko ya kisiasa hapa nchini lakin mamluki lukuki wameamua ku-dilute ile DARUSO tunayoijua...
Madai ya wanafunzi ni mengi tuu lakini pale UDSM kumekuwa chuo cha kata kuliko hata UDOM ilivyo... Mimi nitaelezea machache niliyohabarishwa na wadau wenzangu..
1. Madai ya msingi ya upungufu ya malazi na wanafunzi wanatetseka lakini DARUSO haijatambua wala kushughulikia hilo...
2. Madai ya msingi kuwa "BOOM" Halitoshi na gharama nyingine
3. madai ya kuandikishwa na NHI na utambulisho wao mwka wa 2009/2010.. wengi hwakupewa kitambulisho lakini hela zao hawajapata kabisa... licha ya wengi kulalamika...
4. Madai ya ufisadi na wizi ndani ya DARUSO kutokana na mapato na matumizi ya DARUSO kutokuwa wazi siku zote toka kipara na yule mtangulizi wake waingie madarakani... Kuna ombwe kubwa lauwajibikaji na ukuzaji wa mafisadi watoto
5. Masikitiko yangu ni DARUSO kujiunga TAHLISO wakati watangulizi waliona fika jinsi gani TAHLISO iliweza kuiba haki za wanafunzi na kukumbatia ufisadi wa watoto ambao tunapiga vita kabla hatuajaunda akiana EL na RA wapya... Inaaminika KIPARA alijiunga bila baraka hata ya rafiki zake ambao woote wamenukuliwa wakikana kushiriki huku wakishangaa kwa KIPARA kuwa mwenyekiti wa TAHLISO kwa kuwa wanaamini hiyo ndio rushwa waliyompa ili alainike kirahisi...
6. Uongozi mbovu ambapo inaaaminika kuwa mawaziri watatu walidisko kwa sababu ya ulevi na uchu wa kutumia bila idhini ya wanafunzi na "laana" ya Mungu.. Mimi pia natoa laana zangu binafsi kwa kuwa hii sio DARUSO ya kina-wanaharakati tunaowafahamu
7 .Kuna tetesi mtaani na chuoni pale kuwa KIPARA aliingia madarakani kwa gharama kubwa ya zaidi ya mil 5... ikiwa message special kupitia ZAIN na picha kibao, rushwa, CCM, wizi wa kura na ushabiki mamluki na msaada kutoka kwa kina OWAWA na SILINDE ambao walipigwa danganya toto wakampigia chapuo bila kugundua kuwa mwenzao ni mamluki...
Haya yooote yamelelewa na KIPARA pamoja na serikali yake mamluki ambayo ndio sindano ya maumivu na uchungu mkubwa...
TAHADHARI:
Wabunge wa DARUSO wapige kura ya kutomwamini Raisi ili uchaguzi ufanyike upya...
Nawasilisha!!!
Baadae
Chuo hiki kinafahamika kwa mihemuko ya kisiasa hapa nchini lakin mamluki lukuki wameamua ku-dilute ile DARUSO tunayoijua...
Madai ya wanafunzi ni mengi tuu lakini pale UDSM kumekuwa chuo cha kata kuliko hata UDOM ilivyo... Mimi nitaelezea machache niliyohabarishwa na wadau wenzangu..
1. Madai ya msingi ya upungufu ya malazi na wanafunzi wanatetseka lakini DARUSO haijatambua wala kushughulikia hilo...
2. Madai ya msingi kuwa "BOOM" Halitoshi na gharama nyingine
3. madai ya kuandikishwa na NHI na utambulisho wao mwka wa 2009/2010.. wengi hwakupewa kitambulisho lakini hela zao hawajapata kabisa... licha ya wengi kulalamika...
4. Madai ya ufisadi na wizi ndani ya DARUSO kutokana na mapato na matumizi ya DARUSO kutokuwa wazi siku zote toka kipara na yule mtangulizi wake waingie madarakani... Kuna ombwe kubwa lauwajibikaji na ukuzaji wa mafisadi watoto
5. Masikitiko yangu ni DARUSO kujiunga TAHLISO wakati watangulizi waliona fika jinsi gani TAHLISO iliweza kuiba haki za wanafunzi na kukumbatia ufisadi wa watoto ambao tunapiga vita kabla hatuajaunda akiana EL na RA wapya... Inaaminika KIPARA alijiunga bila baraka hata ya rafiki zake ambao woote wamenukuliwa wakikana kushiriki huku wakishangaa kwa KIPARA kuwa mwenyekiti wa TAHLISO kwa kuwa wanaamini hiyo ndio rushwa waliyompa ili alainike kirahisi...
6. Uongozi mbovu ambapo inaaaminika kuwa mawaziri watatu walidisko kwa sababu ya ulevi na uchu wa kutumia bila idhini ya wanafunzi na "laana" ya Mungu.. Mimi pia natoa laana zangu binafsi kwa kuwa hii sio DARUSO ya kina-wanaharakati tunaowafahamu
7 .Kuna tetesi mtaani na chuoni pale kuwa KIPARA aliingia madarakani kwa gharama kubwa ya zaidi ya mil 5... ikiwa message special kupitia ZAIN na picha kibao, rushwa, CCM, wizi wa kura na ushabiki mamluki na msaada kutoka kwa kina OWAWA na SILINDE ambao walipigwa danganya toto wakampigia chapuo bila kugundua kuwa mwenzao ni mamluki...
Haya yooote yamelelewa na KIPARA pamoja na serikali yake mamluki ambayo ndio sindano ya maumivu na uchungu mkubwa...
TAHADHARI:
Wabunge wa DARUSO wapige kura ya kutomwamini Raisi ili uchaguzi ufanyike upya...
Nawasilisha!!!
Baadae