Kwani si kweli Imeandikwa siku sita tumtumikie Kaizari na siku ya saba tumpe Mungu,je nihaki Tanzania kuiweka siku ya jumapili kuwa siku ya kupiga kura?.wana hakika gani ni Wakristu wangapi wakotayari kuacha kumpa Mungu siku hiyo ili wakamchague bwana wa dunia?.Ni ukweli usiopingika uteuzi wa siku hiyo ndiyo imechangia wapigakura kutojitokeza siku hiyo pindi kunapotokea uchaguzi, Tushauri chaguzi ziwe zinafanyika siku yoyote isiyoambatana na siku ya sala, kwa muumini wa dini yoyote,tuondoe aibu ya viongozi wetu kuchaguliwa na 40% ya wapiga kura,Au kuna nini?