Great thinker ......kweli nimeshangazwa na uchangiaji humu JF juu ya KATIBU mlikizo Mh..Jairo....! nimeshangazwa kwasababu nimeisoma ile barua mara ya kwanza....nikadhani labda nakosea,nimeirudia tena mara ya pili....hadi mara tano. Sijaona kosa la Katibu Jairo hapo kwenye hiyo barua labda kama kuna kitu chingine nyuma ya tusiyoyajua mbali na hiyo barua...lakini kama ni barua hiyo sijui na sioni hata kosa lililofanya hii issue kuwa kubwa hivyo ni nini?, na zaidi nashangaa amesimamishiwa kwa nini?
Naomba ninukuu kidogo madhari ya barua yenyewe..
KATIBU.~anawajulisha kuwa wizara imekamilisha maandalizi ya bajeti ya nishati na madini
~, akaongeza kuwajulisha hao aliokuwa anawa-address hiyo barua kuwa bajeti hiyo imekwisha kupitishwa na kamati husika ya madini
~ KATIBU akaongeza kama ilivyokawaida kwenye uwasilishaji wa bajeti ya wizara hivyo huwa kuna maofisa mbalimbali na viongozi waandamizi wanaambatana nayo, hii ni kwa ajili ya kutoa ufafanuzi wa maswala yatakayo jitokeza kwenye mjadala na katika kuakikisha shughuli ya upitishwaji wa budget hiyo unafanikiwa~ naendelea ma great thinker msichoke..akaandika
KATIBU ~ili kufanikisha mawasilisho UNAOMBWA, SIJUI NI MMOJA AU WANGAPI MIE SIJUI MAANA BARUA ILIYOANIKWA HAIJAONESHA WAPELEKEWA~
~OK tuseme kama inavyojitokeza kwenye mjadala wa swala hili…hizo taasisi zinazoandikiwa barua wanaombwa...narudia tena wanaombwa kuchangia...sio lazima!!!!
KATIBU ---akaelekeza akaunti kwa atakaye kubali ombi hilo apelike pesa kwenye akaunti iliyotajwa na kusisitiza wizara ipewe taarifa kupitia ofisi ya DP……sio kupitia kwake hapana kupitia ofisi ya serkali.
Great thinker nakuja kwenye hoja sasa. Ombi hilo liliombwa kimaandishi na kwa kupitia mfumo wa serikali na pesa hizo zimeombwa kwenye taasisi za serikali ndani ya wizara husika. Tatizo lipo wapi??na pesa za serikali ambazo ni za umma huwa zinakuwa accounted..wengine wataanza serikali haina pesa…na kupinga kuwa pesa ni za umma najua nao hao wapo ndio maana nimelieleza hilo…!
SASA KOSA LA KATIBU LI WAPI HAPO????????????
KWANINI AMESIMAMISHA KAZI!!!!!!KATIBU JAIRO KACHAPE KAZI BWANA.
HAO WANAOKUWA NA BARUA ZA SERIKALI NA KUZITUMIA KISIASA NDIO WANATAKIWA WASIMAMISHWE NA KUCHUKULIWA HATUA ZA KISHERIA…WAMEPATA WAPI BARUA HIYO?NA WAMEIPATAJE? ILI IWEJE? NA KWANINI? KWANI WAO NDIO TAASISI ZILIZOOMBWA HIZO HELA?
SIO KUWA NAMTETEA KATIBU… HANIJUI…SIMJUI NA WALA SINA NIA YA KUJUANA NAYE, ILA NAJARIBU KUFANYA MAZOEZI YA KUWA JUDGE MAANA NAMALIZIA KOZI YA SHERIA.
Naomba ninukuu kidogo madhari ya barua yenyewe..
KATIBU.~anawajulisha kuwa wizara imekamilisha maandalizi ya bajeti ya nishati na madini
~, akaongeza kuwajulisha hao aliokuwa anawa-address hiyo barua kuwa bajeti hiyo imekwisha kupitishwa na kamati husika ya madini
~ KATIBU akaongeza kama ilivyokawaida kwenye uwasilishaji wa bajeti ya wizara hivyo huwa kuna maofisa mbalimbali na viongozi waandamizi wanaambatana nayo, hii ni kwa ajili ya kutoa ufafanuzi wa maswala yatakayo jitokeza kwenye mjadala na katika kuakikisha shughuli ya upitishwaji wa budget hiyo unafanikiwa~ naendelea ma great thinker msichoke..akaandika
KATIBU ~ili kufanikisha mawasilisho UNAOMBWA, SIJUI NI MMOJA AU WANGAPI MIE SIJUI MAANA BARUA ILIYOANIKWA HAIJAONESHA WAPELEKEWA~
~OK tuseme kama inavyojitokeza kwenye mjadala wa swala hili…hizo taasisi zinazoandikiwa barua wanaombwa...narudia tena wanaombwa kuchangia...sio lazima!!!!
KATIBU ---akaelekeza akaunti kwa atakaye kubali ombi hilo apelike pesa kwenye akaunti iliyotajwa na kusisitiza wizara ipewe taarifa kupitia ofisi ya DP……sio kupitia kwake hapana kupitia ofisi ya serkali.
Great thinker nakuja kwenye hoja sasa. Ombi hilo liliombwa kimaandishi na kwa kupitia mfumo wa serikali na pesa hizo zimeombwa kwenye taasisi za serikali ndani ya wizara husika. Tatizo lipo wapi??na pesa za serikali ambazo ni za umma huwa zinakuwa accounted..wengine wataanza serikali haina pesa…na kupinga kuwa pesa ni za umma najua nao hao wapo ndio maana nimelieleza hilo…!
SASA KOSA LA KATIBU LI WAPI HAPO????????????
KWANINI AMESIMAMISHA KAZI!!!!!!KATIBU JAIRO KACHAPE KAZI BWANA.
HAO WANAOKUWA NA BARUA ZA SERIKALI NA KUZITUMIA KISIASA NDIO WANATAKIWA WASIMAMISHWE NA KUCHUKULIWA HATUA ZA KISHERIA…WAMEPATA WAPI BARUA HIYO?NA WAMEIPATAJE? ILI IWEJE? NA KWANINI? KWANI WAO NDIO TAASISI ZILIZOOMBWA HIZO HELA?
SIO KUWA NAMTETEA KATIBU… HANIJUI…SIMJUI NA WALA SINA NIA YA KUJUANA NAYE, ILA NAJARIBU KUFANYA MAZOEZI YA KUWA JUDGE MAANA NAMALIZIA KOZI YA SHERIA.