Game Theory
Platinum Member
- Sep 5, 2006
- 8,545
- 835
Inasemekana kama kuna mtu unamdai halafu hataki kukulipa na hasa kama ni mdosi basi mwone yule mtu mfupi mweusi anavaa suti oversize ambaye ni owner wa Easy Finance.
Jamaa unaambiwa methods zake hata Tony Soprano ataonekana ni kama cenderella
Je inamaana jamaa ameamua kufanya extension ya kazi za kuwanyonya wafanyakazi waliochukua mikopo Easy Finance? na je sheria inaruhusu jamaa akombe mshahara wote kwa waliokopa hizo pesa huko EF?
Na kama jamaa ni mzuri kwenye ku torture watu kwa nini asiombe kazi kwenye serikali ya Mugabe?
Jamaa unaambiwa methods zake hata Tony Soprano ataonekana ni kama cenderella
Je inamaana jamaa ameamua kufanya extension ya kazi za kuwanyonya wafanyakazi waliochukua mikopo Easy Finance? na je sheria inaruhusu jamaa akombe mshahara wote kwa waliokopa hizo pesa huko EF?
Na kama jamaa ni mzuri kwenye ku torture watu kwa nini asiombe kazi kwenye serikali ya Mugabe?