nginda
JF-Expert Member
- Nov 4, 2010
- 744
- 82
ninaposema Taifa ninamaanisha wananchi wema na wenye mapenzi mema. Ni muda mrefu watanzania tumekuwa kama yatima kutokana na utawala mbovu na wakifisadi kiasi kwamba wengi wamekata tamaa. Bahati mbaya sana wizi umekuwa ukifanywa waziwazi bila woga na hakuna wa kufunga paka kengele. Mungu Asante kwani umesikia kilio cha watanzania.
CCM kwa sasa imekuwa chama cha ukoo. Utasikia, Karume, Mkapa Kikwete, makamba, nauye, Sita, lowasa na sasa walitaka Sumari na ndizo koo zinazoshikilia chama. Sasa watanzania tumeanza lini utawala wa kifalme?
Lakini pia tunahitaji kumshukuru Mungu kwa kuwaamsha watanzania ili kujua haki zao. Najua Arumeru walilishwa sana pilau, kanga, eti ukiweka bendera ya magamba kwenye gari unapewa 10,000/-. Huu ni ujambazi uliozidi wa silaha. Hongereni wana Arumeru kwa kuamua. Ni wakati wa maendeleo na siyo danganya toto ya magamba. lakini siyo tu Arumeru, pia wako wananchi walofanya historia nyingine kwa kuwaondoa madiwani wa magamba na kuweka wa CDM. Hongerenis saana
Ombi langu kwa chadema. mmeanza vizuri. Sasa ujitathmini na mhakikishe kuwa mliyowaahidi wananchi wanayapata. Sina mashaka kuwa maendeleo yanaletwa na wananchi, hivyo kaZI YENU KUBWA NI KUWAUNGANISHA NA SIYO KUSUBIRI KASMA KUTOKA SERIKALI YA MAGAMBA. Uliweza kuwaunganisha wananchi wakatoa fedha kwa ajili ya kampeni za Arumeru, sas tumieni mwanya huohuo kuwaletea maendelea.
Wito kwa wananchi wengine IGENI MFANO.
CCM kwa sasa imekuwa chama cha ukoo. Utasikia, Karume, Mkapa Kikwete, makamba, nauye, Sita, lowasa na sasa walitaka Sumari na ndizo koo zinazoshikilia chama. Sasa watanzania tumeanza lini utawala wa kifalme?
Lakini pia tunahitaji kumshukuru Mungu kwa kuwaamsha watanzania ili kujua haki zao. Najua Arumeru walilishwa sana pilau, kanga, eti ukiweka bendera ya magamba kwenye gari unapewa 10,000/-. Huu ni ujambazi uliozidi wa silaha. Hongereni wana Arumeru kwa kuamua. Ni wakati wa maendeleo na siyo danganya toto ya magamba. lakini siyo tu Arumeru, pia wako wananchi walofanya historia nyingine kwa kuwaondoa madiwani wa magamba na kuweka wa CDM. Hongerenis saana
Ombi langu kwa chadema. mmeanza vizuri. Sasa ujitathmini na mhakikishe kuwa mliyowaahidi wananchi wanayapata. Sina mashaka kuwa maendeleo yanaletwa na wananchi, hivyo kaZI YENU KUBWA NI KUWAUNGANISHA NA SIYO KUSUBIRI KASMA KUTOKA SERIKALI YA MAGAMBA. Uliweza kuwaunganisha wananchi wakatoa fedha kwa ajili ya kampeni za Arumeru, sas tumieni mwanya huohuo kuwaletea maendelea.
Wito kwa wananchi wengine IGENI MFANO.