Xmas ndani ya bongo

Babuji

Senior Member
Nov 27, 2008
197
3
384.jpg


382.jpg


383.jpg


381.jpg
 
Huyu demu wa kwanza kulia alivyovaa hivyo na joto la bongo ni kukaribisha mi yeast infection....eeeek!!

384.jpg
 
Safi mkuu kwa kutuaptodet tulioko mbali na nyumbani. HERI ZA MWAKA MPYA ALL JF members na Washabiki wake.
 
Kwa hakika Dunia ipo pabaya! yaani tunashindwa hata kujua tunatakiwa kufanya nini siku ya xmass?
 
Hivi kweli Kristo alizaliwa mioyoni mwao??:confused::eek:
Angh wewe banjuka tu....weka shida chini inua mikono juu...napenda sana our dadaz wamenipa faraja ya macho maana haikuwa na maana kutafuta angle of inclination wala mawani aagh Big up our dadazi kwa vivazi....
 
Back
Top Bottom