Chief-Mkwawa
Platinum Member
- May 25, 2011
- 30,703
- 39,776
gharama ni kama ifuatavyo zote nime estimate
gharama za games
-Nintendo wii ni sh 252,000
-Ps3 ya 160gb ni sh 334,320
-Xbox 360 sh 184,800
Nintendo wameshusha game maana wanarelease game jipya wii u ambalo bei ipo estimated laki 6.
controller au pad
SH 7000 ZOTE MTUMBA.
-zinarange sh 30,000 hadi 40,000 original na wireless
bei ya cd
Hapa inakua ngumu kutokana na aina ya game tuchukue sample fifa2012
Ps3 fifa ni 57,000 according to amazon
Xbox ni 80,000
Wii wao ni 75000
Kama huna hela kama mimi fanya hivi
-Game buree download dolphin emulator kwenye pc Download Dolphin
-pad ni keyboard yako
-cd ni internet yako na mda wa kudownload
gharama za games
-Nintendo wii ni sh 252,000
-Ps3 ya 160gb ni sh 334,320
-Xbox 360 sh 184,800
Nintendo wameshusha game maana wanarelease game jipya wii u ambalo bei ipo estimated laki 6.
controller au pad
SH 7000 ZOTE MTUMBA.
-zinarange sh 30,000 hadi 40,000 original na wireless
bei ya cd
Hapa inakua ngumu kutokana na aina ya game tuchukue sample fifa2012
Ps3 fifa ni 57,000 according to amazon
Xbox ni 80,000
Wii wao ni 75000
Kama huna hela kama mimi fanya hivi
-Game buree download dolphin emulator kwenye pc Download Dolphin
-pad ni keyboard yako
-cd ni internet yako na mda wa kudownload