[QUOTE=Lizzy;1787025]Umeongea nae ukajua kwanini alikudanganya kwamba hata kuwasiliana nae hataki huku anafanya kinyume cha alichosema??Usirukie kutaka ushauri kabla hujajua tatizo!Inawezekana huyo mwanaume anamsumbua..yani anamtaka kwahiyo amefanya hivyo ili ndoa isiharibike.Au hata anamtukana ila hataki kukuhusisha!Hizi zote ni assumption..nakushauri utafute jinsi ya kumuuliza mkeo taratibu ili akwambie kulikoni.[/QUOTE]
Walionana wapi mpaka kukubali kupeana namba na kuificha kwa jinsia nyingine? Amuulize kama it' ok kwake kuendelea kuwasilaiana na X-G wake pia. Asijekuwa yeye ni mkali hataki kusikia mambo ya X-G wa mmewe kumbe yeye anayo namba ya X-B wake. Situation kama hiyo inapunguza trust iliyopo katika ndoa ni kama kuna mambo mengi yasiyo mazuri yanafanyika mwenzi wako hakwambii. Kwa ujumla inaleta mashaka kwenye Mahusiano. Nilishakataa mambo ya X-G kwenye misamiati yangu maana ni baraha tupu. Yanini nimtie presure wife kwa mambo yasiyokuwa na tija kwenye ndoa. Unapungukiwa na nini ukikata mawasiliano na X wako?
Walionana wapi mpaka kukubali kupeana namba na kuificha kwa jinsia nyingine? Amuulize kama it' ok kwake kuendelea kuwasilaiana na X-G wake pia. Asijekuwa yeye ni mkali hataki kusikia mambo ya X-G wa mmewe kumbe yeye anayo namba ya X-B wake. Situation kama hiyo inapunguza trust iliyopo katika ndoa ni kama kuna mambo mengi yasiyo mazuri yanafanyika mwenzi wako hakwambii. Kwa ujumla inaleta mashaka kwenye Mahusiano. Nilishakataa mambo ya X-G kwenye misamiati yangu maana ni baraha tupu. Yanini nimtie presure wife kwa mambo yasiyokuwa na tija kwenye ndoa. Unapungukiwa na nini ukikata mawasiliano na X wako?