X-Mass bila Umeme

Kongosho

JF-Expert Member
Mar 21, 2011
35,999
24,163
Kuanzia jana saa 12 asubuhi hatuna umeme hadi saa hii.
Tanesco ukipiga wanasema wanakuja kuanzia jana.

Tumethubutu, tumeweza na tunasonga mbele.
 
Kweli kimekuuma... hadi umeamua kufungulia thread. Pole sana Kongosho. nitakuja kukutembelea, mimi nina kisu kina tumia mkaa. lol
 
angalau nipunguze frastrations
kweli nna hasira ya kuua nyati
afu nauliza tanesco tatizo nini hataki kusema as if si haki yangu kujua
namuuliza unategema itachukua muda gani kurekebisha tatizo hajui

jamani hii kastama kea ya kitanzania inakera sana

Kweli kimekuuma... hadi umeamua kufungulia thread. Pole sana Kongosho. nitakuja kukutembelea, mimi nina kisu kina tumia mkaa. lol
 
ni bora kusheherekea ukiwa kijijini kabisa ambako wanatumia vibatari kuliko hii

nazunguka zunguka tu ndani kama samaki katolewa kwenye maji

hivi hamna mmbeba mabox anayeweza nikaribisha kwake leo.

poleni sana!hapa mtaani kwetu wamekata maji yaani kero kweli!
 
ni bora kusheherekea ukiwa kijijini kabisa ambako wanatumia vibatari kuliko hii

nazunguka zunguka tu ndani kama samaki katolewa kwenye maji

hivi hamna mmbeba mabox anayeweza nikaribisha kwake leo.

karibu kwetu dar kongosho ila ntumie no yako ya simu nkutumie pesa ya nauli kwa njia ya m pesa.x mas njema
 
Kuanzia jana saa 12 asubuhi hatuna umeme hadi saa hii.
Tanesco ukipiga wanasema wanakuja kuanzia jana.

Tumethubutu, tumeweza na tunasonga mbele.
Poleni sana mkuu, hivi Rais hasheherekei krismasi?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom