Mamaya
JF-Expert Member
- Jul 4, 2011
- 4,792
- 3,722
Wala mie siwaangalii watu.:spy:
Kongosho hii ni nini tena?humwangalii nani hapa jamvini? Kwani una mtalaka wako yuko hapa jamvini anakuita sivyo na unamsubiri uone ataandika nini jinsi anavyokuita?