Hahahahaha, nooooo! akikuita hivo wewe mwite to dia kama kawaida! lolMara nyingi ananiita aunt.jaman!khaa...bora ataje jina langu!.sijui wenzangu mnaitwaje,labda npo nyuma ya dunia.
Akuite jina lako, aunt, dada, full stop! Wewe muite jina lake, kaka, uncle...baaasi. Mambo ya kuitana yale majina yenu ya enzi zileee, mwisho wake mtashawishika kukumbushia...mkome kabisa!
Sasa kama unalo kwanini usimwambie akuite kwa jina lako? Kama hufurahii mtu anavyokuita, kuongelesha, kuongelea mweleze ukweli kwamba hupendi.Siwezi kumuita swit names,but i would rather kal his name.
Nna jina lizzy,but aunt?mi aunt yake!mmh!...
Imebidi niulize,maana kwa kiswahili ananiita shangaz,
Siwezi kumuita swit names,but i would rather kal his name.
Nna jina lizzy,but aunt?mi aunt yake!mmh!...
Imebidi niulize,maana kwa kiswahili ananiita shangaz,
Yaalaah helua helua
Ukitaka na tende wewe chukua
Ila ujue moyoni unaniua!
Unamrusha nani roho?
Ananjijua
Ukiachana na mpz wako,not kwa mabaya,may be kampa mtoto wa watu mimba,na kalazimika kuoa,au anakuwa na gal mwingine,hivyo mnatengana.Pindi unapomsalimia,utamwita nani?,huyu xboy wangu ananichekesha sana,jina analoniita,sijui ndiyo heshima,simuelewi.